Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 40,923
- 119,309
Dawa rahisi kabisa ya kudhibiti utapeli wa aina hiyo, ni hii hapa;
Ukiwa mjini, ukitoka tu benki, au ukiwa katika mishe zako! Jitahidi uwe busy tu na mambo yako! Na usikubali kamwe kumsikiliza mtu anayekuita au kukusimamisha ili akuambie shida yake.
Na kwa ule utapeli wa kwenye simu, na wenyewe ni hivyo hivyo! Usikubali kumsikiliza mtu. Wewe mwambie kwa ufupi tu uko busy, na kama atakuambia eti kuna hela sijui imetumwa kimakosa kwenye simu yako; mjibu tu kirahisi apige simu huduma kwa wateja ili arejeshewe hiyo pesa yake! Maana hilo silo jukumu lako.
Ukiwa mjini, ukitoka tu benki, au ukiwa katika mishe zako! Jitahidi uwe busy tu na mambo yako! Na usikubali kamwe kumsikiliza mtu anayekuita au kukusimamisha ili akuambie shida yake.
Na kwa ule utapeli wa kwenye simu, na wenyewe ni hivyo hivyo! Usikubali kumsikiliza mtu. Wewe mwambie kwa ufupi tu uko busy, na kama atakuambia eti kuna hela sijui imetumwa kimakosa kwenye simu yako; mjibu tu kirahisi apige simu huduma kwa wateja ili arejeshewe hiyo pesa yake! Maana hilo silo jukumu lako.