Ila bodaboda ni baala!

Ila bodaboda ni baala!

Travis Kitengo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
489
Reaction score
1,200
Wao wanajiita maafisa usafirishaji.Wana visa sana
FB_IMG_1718299276979.jpg
 
Sijasema ww unatokwa na uchafu ila nimepita na maneno yako kuwa nalamba uchafu.

Binti akiwa msafi huko ndani bc kila kitu kinakuwa sawa.
Kule chini kuna bacteria wanaolinda uke, wewe unavyolamba unawatoa ukeni unawaweka mdomoni, we huogopiiii!!!
Kwa akili hizi tusiwacheke bodaboda kubebesha mafurushi kwenye boda zao🤸
 
Kuna wale wamenunua Tv 700k+ au friji 700k+ halafu wanaisafirisha kwa bodaboda 😂 Dah binafsi sina huo moyo aisee 🙌
mkuu watu hawama utimamu wa akili..... imagine mtu anabeba chemical za maabara kwenye boda tena unakuta mtu kabeba chupa ya salphuric kaipakata najaribugi kuwaza akipata ajali inakuake maana ni mwendo wa kuungua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom