gsu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 3,461
- 712
Wanasiasa wanajaribu kutumia kila mbinu kuichafua IKULU , sijui ni kwa maslahi ya nani na kwa nini hayo hayakusemwa Bungeni hata kama CAG aliogopa kuandika kwa sababu wabunge wana kila aina ya Kinga na ndiyo maana hata LISSU alidiriki kumtukana Jk bila ya hatua zozote kuchukuliwa.
wabunge wengi huwa wanazungumza kwa sifa tu lakini ukiwaambia walete viambatisho au uthibitisho usikuwa na shaka mavi debe wanajivunia ile kinga ya bunge kuongea hata ujinga usiokuwa na maana.