Ikulu - Rushwa ya Ngono Imekithiri Serikalini

Ikulu - Rushwa ya Ngono Imekithiri Serikalini

Gazeti la Tanzania Daima Ijumaa Juni 27 linaripoti kuwa Ikulu ya Tanzania imethibitisha kukithiri kwa rushwa ya ngono Serikalini hususani katika kupata ajira.

Hii ni kusema asilimia kubwa ya wadada wanaopata kazi Serikalini wamepitiwa na maofisa waajiri au walio jirani na ofisi bila ridhaa yao. Huu nao ni ubakaji sijui!? Kuna wanaopitiwa kingono na kazi hawapati. Kuna wanaoombwa na wanaojipmbesha wakidhani itawasaidia kupata ajira.
DSC00429.jpg


Cheap newspaper
 
Lete ushahidi,sio story za kijiweni hapa


Mimi washaniomba Mara kibao na nmekutana nao sana watu hao.....Ila siwez uza utu wangu kama kazi ipo ipo tuuuu ntapata kwa njia sahihi.....
 
Mimi washaniomba Mara kibao na nmekutana nao sana watu hao.....Ila siwez uza utu wangu kama kazi ipo ipo tuuuu ntapata kwa njia sahihi.....

Hee wakugegede?! Duh halafu unakuta vizee vimechokaa.
 
Kwanini wanaume wanapo ombakazi wakinadada waliopo offisin hawahongi rushwa ya ngono
 
Gazeti la Tanzania Daima Ijumaa Juni 27 linaripoti kuwa Ikulu ya Tanzania imethibitisha kukithiri kwa rushwa ya ngono Serikalini hususani katika kupata ajira.

Hii ni kusema asilimia kubwa ya wadada wanaopata kazi Serikalini wamepitiwa na maofisa waajiri au walio jirani na ofisi bila ridhaa yao. Huu nao ni ubakaji sijui!? Kuna wanaopitiwa kingono na kazi hawapati. Kuna wanaoombwa na wanaojipmbesha wakidhani itawasaidia kupata ajira.
DSC00429.jpg


Kinachotakiwa ni msimamo wa mtu binafsi kwan vishawishi vipo kila kona iwe kwenye biashara,ajira,vyuoni nk na mara nyingi watoto wa kike ndo huwa wanashawishi waajir kwa kutaka upendeleo na kukwepa ushindani!
 
Huyu mama alifikiria chenge angemuonea huruma? Chenge hakutuonea huruma watu milioni 45 na akatuibia hela zetu kwenye ununuzi wa RADAR itakuwa huyu mama mwenye elimu ya kuunga unga!! Chenge is a sadist , I am sure huyu mama alipoangua kilio yeye alikuwa anacheka!!! Hii kamati inachofanya ni kumuonesha Rais kuwa uteuzi wake wa huyu waziri leaves alot to be desired na kama ana akili atalielewa hilo!!!!
Inawezekanaje na wote ni chama tawala?
 
Sishangai hawa jamaa ndio zao, mifano hai kwenye mashirika na makampuni tunayasikia
 
Inawezekanaje na wote ni chama tawala?

Chenge has his own aspirations politically na pia ana alliance na EL; sasa mahala popote atakapopata nafasi ya kumuembarass Mkwereee atafanya hivyo to the maximum and that is exactly what he is doing with the minister for finance!!!
 
Back
Top Bottom