GanjaPlanter
Senior Member
- May 27, 2014
- 117
- 119
Gazeti la Tanzania Daima Ijumaa Juni 27 linaripoti kuwa Ikulu ya Tanzania imethibitisha kukithiri kwa rushwa ya ngono Serikalini hususani katika kupata ajira.
Hii ni kusema asilimia kubwa ya wadada wanaopata kazi Serikalini wamepitiwa na maofisa waajiri au walio jirani na ofisi bila ridhaa yao. Huu nao ni ubakaji sijui!? Kuna wanaopitiwa kingono na kazi hawapati. Kuna wanaoombwa na wanaojipmbesha wakidhani itawasaidia kupata ajira.
Hii ni kusema asilimia kubwa ya wadada wanaopata kazi Serikalini wamepitiwa na maofisa waajiri au walio jirani na ofisi bila ridhaa yao. Huu nao ni ubakaji sijui!? Kuna wanaopitiwa kingono na kazi hawapati. Kuna wanaoombwa na wanaojipmbesha wakidhani itawasaidia kupata ajira.