Bishop Hiluka
R I P
- Aug 12, 2011
- 7,150
- 14,724
Hivi kuna haja yoyote ya kumjibu Lema, yule si naye ni kama amechanganyikiwa? Nadhani inatokana na ukweli kwamba atakosa posho za vikao vya bunge ndiyo maana anaamua kutjipatia posho hizo kupitia majukwaa.
jana waraka ulioandaliwa kumjibu lema ulikataliwa na mkuu wa kaya baada ya kutumiwa na kujibu kutoka kwa simu yake neno moja tuu "hapana"
sasa hivi wakuu wa kujibu wanahangaika baada ya kupokea maelekezo na marekebisho ya waraka wao,naamini kufikia leo jioni waraka wa ikulu dhidi ya lema utakuwa umejibiwa .
Hii inaweza kwenda mbali zaidi na ikamlazimu salva kufanya press conf leo mchana
lema jembe bana toka jana mpaka leo story hapa kwa mkuu wa kaya ni lema lema mpaka mzee mmoja mpishi muongeaji sana wamembatiza jana anaitwa lema
pepozzzzzzzzzzzzzzzzzzz''''
Lema haaaaaaaaaaaa.....
Ikulu haitamuweza, mpeni Nape amalize kazi!!!!
Hivi kuna haja yoyote ya kumjibu Lema, yule si naye ni kama amechanganyikiwa? Nadhani inatokana na ukweli kwamba atakosa posho za vikao vya bunge ndiyo maana anaamua kutjipatia posho hizo kupitia majukwaa.
Lema haaaaaaaaaaaa.....
Ikulu haitamuweza, mpeni Nape amalize kazi!!!!
Kama Ikulu ikimjibu Lema basi kuna ukweli waliingili kesi yake kwahiyo wanajihami kwa nguvu zote
jana waraka ulioandaliwa kumjibu lema ulikataliwa na mkuu wa kaya baada ya kutumiwa na kujibu kutoka kwa simu yake neno moja tuu "hapana"
sasa hivi wakuu wa kujibu wanahangaika baada ya kupokea maelekezo na marekebisho ya waraka wao,naamini kufikia leo jioni waraka wa ikulu dhidi ya lema utakuwa umejibiwa .
Hii inaweza kwenda mbali zaidi na ikamlazimu salva kufanya press conf leo mchana
lema jembe bana toka jana mpaka leo story hapa kwa mkuu wa kaya ni lema lema mpaka mzee mmoja mpishi muongeaji sana wamembatiza jana anaitwa lema
pepozzzzzzzzzzzzzzzzzzz''''
Hapa uongo ni upi mkuu Zomba,kwamba hakuna message iliyoandaliwa na JK akaikataa isitoke,au kwamba hakuna pilika pilika zozote za kumjibu Lema?Uongo mwingine hauna kichwa wala miguu.