KISAKA MORIS
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 372
- 33
Ikulu siku hizi haina maana maana kazi ya msemaji wa ikulu kama Salva hatakiwi kujibu kama anavyojibu kashfa mbalimbali zinazoiandama ofisi hiyo. Raisi hawezi kushutumiwa kwa lolote alafu salva anajibu kama alikuwepo. Kikwete alishutumiwa kuhongwa suti afadhali akanushe kwa alichose raisi anaongea maneno yake yeye. "Kumbuka Ikulu ni mahali patakatifu" uharamu wanaouleta hautawasaidia, tunajua hawawezi kukubali ila habari ndiyo hiyo.