Umoja wa Mataifa UN umefika kumuona Mh. Rais
Umoja wa Mataifa UN umefika Dodoma kumuona Mh. Rais ili kusikia Mpango wake wa miaka 5 na UN kujipanga kushiriki kama Mdau wa Maendeleo wa Tanzania
Masuala ya Mazingira, mabadiliko ya tabia-nchi na biodiversity pia ni maeneo UNEP wanashiriki kwa ukaribu na Tanzania
Source : Global tv online
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.