Ikiwa tangu enzi Viongozi wetu wa dini walivaa hivi kwanini sisi tuvae tofauti kinyume na maadili...

emie emie

JF-Expert Member
Feb 25, 2016
711
386
Nimekuwa nikifuatilia Dini hizi mbili ikiwemo hii yangu ya KRISTO naangalia mavazi ya Padre n.k naona mavazi ya wakuu wetu waliokuwa wanavaa yalikuwa ni ya kufunika miili yao sana. Ila najiuliza kwanini sisi waumini tunavaa hovyo? Kwanini makanisa yasiamrishe waumini wote kuvaa vizuri?
Jesus_099_small.jpg

maria 1.jpg


maria 2.jpg
 
Mara nyingi mavazi ya kale yalikuwa yana kwendaga na mahali ulipo, kwanfano ....waarabuni walikuwa wanatumia vilemba kujikinga na kimbunga cha mchanga wa jangwani. Watu wa ulaya walikuwa wanatumia ngozi kujikinga na hali ya baridi. Na sisi wamatumbi tulitumia majani kutokana na joto lililokuwa linatukaanga pamoja na urahisi wa upatikanaji majani.
 
Utandawaz ndug umebadili kila kitu makanisan kuna vituko ujawah ona watu wanafany kama wamekuja kufanya.show off
 
Mavazi ya kanzu na hijab yalikuwepo kabla hata ya Masihi/Masiya au Yesu Kristo. hivyo hata muhamad alipokuja aliyakuta uislamu umeanza miaka 600s iliyopita umekuta mavazi haya ambayo yalivaliwa tangu na tangu na jamii yote ya huko kwa kuwa ni tamaduni.

KANZU, HIJAB n.k SI MAVAZI YA DINI. NASISITIZA SI MAVAZI YA DINI. MTU YEYOTE ANAWEZA KUVAA. HAYA NI MAVAZI YA UTAMADUNI WA KIYAHUDI NA KIARABU.

kanzu na hijab, kiislam kabisa! uislam ndo dini ya asili dini ya haki
 
Mara nyingi mavazi ya kale yalikuwa yana kendaga na mahali ulipo, kwanfano ....waarabuni walikuwa wanatumia vilemba kujikinga na kimbunga cha mchanga wa jangwani. Watu wa ulaya walikuwa wanatumia ngozi kujikinga na hali ya baridi. Na sisi wamatumbi tulitumia majani kutokana na joto lilokuwa kinatukaanga pamoja na urahisi wa upatikanaji majani.
Sure kabisa uko sawa
 
nimekuwa nikifuatilia Dini hizi mbili ikiwemo hii yangu ya KRISTO naangalia mavazi ya Padre n.k naona mavazi ya wakuu wetu waliokuwa wanavaa yalikuwa ni ya kufunika miili yao sana, ila najiuliza kwanini sisi waumini tunavaa hovyo? Kwanini makanisa yasiamrishe waumini wote kuvaa vizuri?
Hizo picha ulizotolea mfano ni za kuchora. Sio halisi.
 
Haki ya kufanya ugaidi
Kuuzana ilikuwa miaka 4000 iliyopita wakasingizia kuuzana kumkuja baada ya kuja dini hii alikuja muhamadi na kuanza kuuza watu,kwa kifupi muhamadi mwenyewe kakuta hizo tamaduni za kuvaa kazu maana hiyo ndiyo asili ya mavazi ya waarabu
 
Means ni muhamad ikiwa hivyo ndivyo hayo mavaz kayakuta iweje leo waseme kanzu ni vazi la ibada wakati ni mavaz ya asil ya waarabu!!njoon na hoja zenye mashiko na utafiti wa kina hacheni kukurupuka bhana
 
Quraan 16:43 43. Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo). Basi waulizeni wenye ukumbusho kama nyinyi hamjui.hiki ndicho tulicholifanya kwenu ni kuwafundisha kwakuwa hakuna mnachojua.
 
Quraan 16:43 43. Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo). Basi waulizeni wenye ukumbusho kama nyinyi hamjui.hiki ndicho tulicholifanya kwenu ni kuwafundisha kwakuwa hakuna mnachojua.
Kutoka 17:14
 
Inategemea na jinsi unavyotafsiri neno kuvaa vizuri. Hivyo ulivoonesha wanavaa viongozi wa dini wa zamani kwa wengine wetu ndio kuvaa vibaya. Anyway, msitake kuchanganya utamaduni na dini. Mavazi ni utamaduni wala sio dini.
 
Back
Top Bottom