Mtihani mgumu sana kuchagua akili au chura(uzuri).....Imagine naweza kuwa na sifa zote hizi ila nikabaki kisa sina chura, wanaume mbingu mtaiskia..!!
Wapo wanawake wenye sifa kama ambavyo bado wapo wanaume wenye sifaKWA DUNIA YA SASA MKUU LABDA UMUUMBE MWENYEWE,KIZAZI KIMEPOTOKA HIKI
Wanawake wana akili sana. Ndio maana Biblia inasema tuishi nao kwa akili. Huwezi kuishi kwa akili na Mtu asiye na akili.Asikudanyanye mtu hakuna mwanamke anaweza mzidi akili mwanaume. Never! Kwa wale wanaoishi nao watanielewa ila kwa Vijana wanaoota ndoto km huyu mtoa mada hawatanielewa kabisa.
Chagua tu chura akili mtatumia zako..!!Mtihani mgumu sana kuchagua akili au chura(uzuri).....
Ubaya ni kuwa akiwa mwenyewe huko mitaa hana nafasi ya kutumia akili zangu!Chagua tu chura akili mtatumia zako..!!
Imagine naweza kuwa na sifa zote hizi ila nikabaki kisa sina chura, wanaume mbingu mtaiskia..!!
Namba 11 Chura,je anaye huyo chura?Mke wangu ana vyote hivyo.
Maisha burudani Sana
Sasa hiyo ndiyo maana khalisi ya 'kula matunda ya maamuzi yako'..!Ubaya ni kuwa akiwa mwenyewe huko mitaa hana nafasi ya kutumia akili zangu!
Asee wewe jamaa unafikiria mbali.Mwanamke akiwa na sifa zote hizi akiamua kuondoka usimzuie!
Maji yanaweza kuniteka pia 😀Imagine naweza kuwa na sifa zote hizi ila nikabaki kisa sina chura, wanaume mbingu mtaiskia..!!
Namba 11 Chura,je anaye huyo chura?
Dada umeongea kwa Masikitiko mpaka nafsi yangu imenung'unika. Enewei ngoja nilitunze nililokuwa nataka kulibwaga.Imagine naweza kuwa na sifa zote hizi ila nikabaki kisa sina chura, wanaume mbingu mtaiskia..!!
Naam MkuuAsee wewe jamaa unafikiria mbali.
Ni kweli mwanamke mwenye sifa hizo ni kama risasi ndani ya bunduki,
Akiwa nawe atakupa ulinzi lakini akisema naondoka ukamzuhia, hiyo risasi inaenda kukuuwa wewe.