Huwa najiuliza ivi Pinda akipigwa chini does that mean baraza la mawaziri lote limepigwa chini au wao wanaendelea na majukumu?
Msaada wa interpretation pls
kwa mtazamo wangu naona kama haitawezekana kumuondoa sasa.....i hope walioanzisha mchakato huu wana plan B,isijekuwa kama issue ya madaktari na waziri wa afya.......then.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.