Ikishindikana leo

Ikishindikana leo

Richardbr

Senior Member
Joined
May 29, 2011
Posts
110
Reaction score
27
January Wawakilishi wa wananchi watakutana tena Jan 2015 na hapa tunajua wazi Serikali inatakiwa kuja na taarifa ya utekelezaji wa Maazimio ya Bunge silaha pekee ni kura ya kutokuwa na imani na serikali yani waziri mkuu by the way mwanasheria katangulia sawali litakuja kwanini Rais ameridhia kujiudhulu kwake kama mapendekezo ya Bunge yana Makosa?

Mheshimiwa Zito kaza buti mpaka kieleweke
 
Mi napenda awaache tu, hii itakuwa ni opportunity kubwa sana kwa upinzani. Sijawahi ona kiongozi mvivu km jk...
 
Back
Top Bottom