jay john
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 429
- 250
Wanyama hawa nao wangeweza kuungana na kununa kwa pamoja kwenye mambo ya msingi nadhani ingekuwa poa sana.
View attachment 448761
Sio kwa mapigo haya........
View attachment 448762
Kafanana na Trump aisee huyu!
mbona Trump unaenda mbali sana ,kuna jamaa yupo hapa hapa karibu hebu mtaje anafanana naye kweliKafanana na Trump aisee huyu!
Mimi nimetaja nimemaliza. Sasa nawe taja, usinipe hiyo kazi!mbona Trump unaenda mbali sana ,kuna jamaa yupo hapa hapa karibu hebu mtaje anafanana naye kweli