Ikarusi Kumbakumba

Ikarusi Kumbakumba

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
11880545_495923970574883_3394558859145544159_n.jpg
remonty_ikarus1.jpg
 
Tofauti na hizi za DART ni kuwa hizi za sasa wamemodify body; pia zina milango kila upande; halafu zitapita kwenye barabara maalumu. Otherwise ni gari zilezile tu tulizozipanda wakati ule.
 
Kumbe ni gari nilikuwa nasikia hilo neno katika wimbo wa mchakamchaka nikiwa ya msingi enzi hizo " ikarusi mamaaa kumbakumba ikarusi mamaa kumbakisa ....."
 
Tofauti na hizi za DART ni kuwa hizi za sasa wamemodify body; pia zina milango kila upande; halafu zitapita kwenye barabara maalumu. Otherwise ni gari zilezile tu tulizozipanda wakati ule.
kweli kabisa halafu zile konda alikua ndani na kamashine hakukua na ufisadi
 
Kumbe ni gari nilikuwa nasikia hilo neno katika wimbo wa mchakamchaka nikiwa ya msingi enzi hizo " ikarusi mamaaa kumbakumba ikarusi mamaa kumbakisa ....."
kumbakumba asili yake lilikua likifika kituoni linakumba wote mliopo
 
Mabasihaya Enzi ya Baba wa Taifa Mwalim nyerer kwa hivi sasa hakuna au kam yapo basi yatakuwa yapo Gereji yamekwisha haribika hayafai tena huku nje bado yanatumika hayo mabasi ya Ikarus Made in Hungary.
asante mkongwe
 
Hilo bana kumbakumba lenyewe
 

Attachments

  • 1440631670877.jpg
    1440631670877.jpg
    51.9 KB · Views: 239
Kulikuwa na kumba kumba na nusu mkate Mwenge ubungo kupitia chuo
 
Back
Top Bottom