Ijue maana ya #HapaKaziTu

Na ndio maana hawataki kutoa elimu bora kwa waTz, wanataka tuendelee kuwa wajinga ili waendelee kututawala kijinga
 


Kauli mbiu mpya kila siku ningependa kujua

Maisha bora ilifia wapi maana hakuna mrejesho

Kilimo kwanza je ??
 
Ni kauli ya kimadharau sana baada ya kudanganya maisha bora kwa kila mtanzania kushindikana
 
Uvivu na ujinga hautolewi na hapa kazi tu bali elimu elimu elimu futa tongotongo kwa macho yako

Kwani shule, zile za kata, vyuo, UDOM hakikuwa katika ilani ya JK lakini kimejengwa, au umejenga wewe na familia yako
 
watanzania ni wamoja sasa unataka nimtenge huyo mwenye elimu ndogo? cha msingi tutofautishe kwa hoja zetu utajua na wewe pia tutakupa elimu bora na bure usijali

Mimi nimesoma mpaka chuo kikuu, familia yangu ya hali ya chini ila nimesoma, sasa unaposema elimu, elimu ipo ni kama bure, ila nyie mnaposema elimu bure bila mikakati manfail, hal ya kuwa mikakati ya kukitunza CDM hamna, mnawachangisha raia tu
 
Acha kung'ata maneno ,je kwaualisia je mtu ambaye hana ajira nae akubaliene na huo usemi ? Coz tukichukulia kazi kwa wigo mfinyu m2 anaye zurura mitaani naye atasema kafanya kazi ya kuzurura.
 
…kwa ufafanuzi huo nidhahili hamjaeleweka na hakuna dalili ya kueleweka, watu wanataka "MANADILIKO"… .
 
Kwani shule, zile za kata, vyuo, UDOM hakikuwa katika ilani ya JK lakini kimejengwa, au umejenga wewe na familia yako
nani kakudanganya kuwa elimu ni majengo tu au unaielezeaje elimu ya shule za kata pia hata vyuo vikuu baadhi hasa kwa kozi za science hapa tz?
 
Hapa kazi tuu. Sera safi na mipango murua tutaazima kwa malofa.
 
nani kakudanganya kuwa elimu ni majengo tu au unaielezeaje elimu ya shule za kata pia hata vyuo vikuu baadhi hasa kwa kozi za science hapa tz?

Sasa bila majengo utasoma wapi? Maana mpaka sasa naona watu wanalalamika kuna shule zinasoma chini ya miti, sasa kama shule si majengo si wasome tu chini ya miti.

Na kuhusu vyuo, hata huko nje vipo vyuo vinatoa elimu nzuri na ya kawaida, na ndio maana hua tunachagua, chuo cha UDSM hapa Tz kime rank katika top ten na muda mwingine top five, miongoni mwa vigezo huangaliwa, ni kiwango cha elimu katika masomo ya sayansi. Sasa unaposema elimu mbovu unakosea, yapo mapungufu kwa kuwa bado tunaendelea, development is a gradual change mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…