Ijue kampuni ya Bam international

Ijue kampuni ya Bam international

Lavan Island

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
2,378
Reaction score
2,055
Wadau wa jf rejeeni kichwa cha habari hapo juu,kama unatafuta ajira tafuta hiyo kampuni inahusika na mambo ya ujenzi inaajiri watu kutoka mataifa mengi duniani ikiwemo Tanzania hivo changamkia dili jamaa wanalipa vizuri ukiwa na cv na kazi unaijua hawajivungi.Hawana ajenti apply mwenyewe.
 
Unaonekana uko na dhamira nzuri tu katika kutusaidia.
Tatizo taarifa zako ulizowasilisha hazijakamilika hivyo kupelekea kutotimiza lengo lako.
 
Last edited:
Back
Top Bottom