ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,080
- 858,528
Karibu sanaAsante my dear nitakutafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sanaAsante my dear nitakutafuta
Kwnn wnapend kumzungmzia yy n kuwaach wflme wngn nn ttzo!Ni kweli mwili wake haujaaribika mpaka leo na siyo yeye peke yake ipo na miili mingine ya hao wafalme wa misri pamoja na wake zao na watoto wao. Kwa ujumla huo ulikuwa ni utaratibu wao wa kukausha hizo royal families zikifa na siyo huo uzushi eti alikaushwa na mungu hiyo process inaitwa mummification unaweza kugooge ukaelewa zaidi
Sio misri tu, hata Zanzibar wangezubar wangekuwa ni wao tu leo. Zipo nchi nyingi zenye mifano kama hii, za kale na za sasa pia. Makaburu South na wazungu Australia, weusi Haiti nk.
Weusi Zanzibar! Kwakuwa ndio wenyeji halisi wa eneo hilo, na walishaanza kupotezwa kiuchumi, kisiasa, kijamii nk.Nani hao unauwazungumza wangezubaa hapo Zanzibar?
Weusi Zanzibar! Kwakuwa ndio wenyeji halisi wa eneo hilo, na walishaanza kupotezwa kiuchumi, kisiasa, kijamii nk.
Na wewe! Kwahiyo we unaamini waarabu wa Zanzibar ni wenye asili ya hapo tangu ulimwengu uumbwe? Kasome vitabu vya Peryplus na vya akina Batuta.Tunaomba utupe Historia ya uthibitisho wa ujio na kuwa wao ndo weneji halisi.
Na wewe! Kwahiyo we unaamini waarabu wa Zanzibar ni wenye asili ya hapo tangu ulimwengu uumbwe? Kasome vitabu vya Peryplus na vya akina Batuta.
Kwahiyo unauhitaji uthibitisho Upi labda? Kama wa kihistoria huuhitaji, basi sina jinsi twende wa Kiimani na kijiigrafia, ya kwamba hapo awali palikuweko na ardhi na maji, ardhi katikati tu na maji pembeni...hapo visiwa si jambo lenye kufikirika. Kwahiyo Zanzibar ni sehemu ya Tz ya bara.Sijasema hivyo, Ila nataka dalili za uthibitisho kama wa Africa <BANTUS> kama ndio wenye asili ya Zanzibar tangu ulimwengu ulipoumbwa, au japo dalili za ujio wao.
Kwahiyo unauhitaji uthibitisho Upi labda? Kama wa kihistoria huuhitaji, basi sina jinsi twende wa Kiimani na kijiigrafia, ya kwamba hapo awali palikuweko na ardhi na maji, ardhi katikati tu na maji pembeni...hapo visiwa si jambo lenye kufikirika. Kwahiyo Zanzibar ni sehemu ya Tz ya bara.
Hoja zako za kuthibitisha hilo?Zanzibar Si Sehemu Ya Tz Bara ila tunaweza kusema Tz Bara nisehemu ya Zanzibar kwa mujibu wa historia inavotufundisha.
Hoja zako za kuthibitisha hilo?
We ni waajabu kweli, hoja ilikuwa ni eneo ama wakazi? Nije kwako, haya nije kwako, hiyo Zanzibar unayoizungumzia, ambayo ilijumuisha eneo kubwa la bara, wakazi wake wa Asili walikuwa ni waarabu ama watu weusi?Unaziulizia zangu wakati weye bado umeshindwa kuleta
Hivi weye hufaham kama eneo kubwa tu la Tanganyika liliwahi kuwa kwenye himaya ya Zanzibar?
We ni waajabu kweli, hoja ilikuwa ni eneo ama wakazi? Nije kwako, haya nije kwako, hiyo Zanzibar unayoizungumzia, ambayo ilijumuisha eneo kubwa la bara, wakazi wake wa Asili walikuwa ni waarabu ama watu weusi?
Uwe Muelewa, Hakuna haja ya yrye kuzikwa sasa ili hali watu wanatafuta miili mingine ya Wamisri hao wa kale kwa ajili ya Utalii! Hivyo sababu kubwa ya yeye kutokuzikwa sasa ni utalii..Sishangai ulicho andika maan wewe hauna tofauti na wapingaji waliopita
1Swali kama alishindikana kuzikwa kwanini asizikwe sasa?
2 Tunavyojua mwili ukikaa mda mrefu kabulini yanabaki makapi(mifupa tiiii) mbona huyo unaemtetea bado angali akiwa anauafadhari ??