smati
Senior Member
- Dec 24, 2010
- 149
- 5
Nina rafiki wa kike, si mchumba wala hatuna seroius kitu. Kinacho nishangaza kila tukiongea ataongea mambo magumu kidogo. mfano Nimelala uchi, nimebakiza chupi tuu, jamani hivihutu tu sentence tunalengo gani. Juzi nikamwuliza vizuri kuhusu haya mambo ananiambia anashindwa kulala, kwa hiyo nisikate simu, nikikata ananipigia tena, tunarudi kwenye hapo hapo kwenye vichupi,etc.
mm hizi technique zinanitisha. nisaidieni wakubwa.
mm hizi technique zinanitisha. nisaidieni wakubwa.