Igunga: Hii ndiyo mbinu mpya ya kutuibia walipa kodi wa ardhi?

Dseni

Member
Aug 13, 2012
36
42
IGUNGA: HII NDIYO MBINU MPYA YA KUTUIBIA WALIPA KODI WA ARDHI?

Nasikitika kuwaambia kuwa kuna mbinu mpya ambayo mimi naona kama imebuniwa kwa ajili ya kuwaibia wananchI-Wazalendo wa wilaya ya Igunga kuhusu malipo ya kodi ya ardhi.
Ninacho kiwanja kimoja pale Igunga.

Leo tarehe 21.02.2020 nilienda kwa ajili ya kulipia kodi ya ardhi baada ya kusafiri kwa muda mrefu na kushindwa kulipia kodi ya ardhi hiyo tangu 2018 hadi 2020. Nilipoenda niliwaambia nataka kulipia; na nikaambiwa NIPELEKE RISISTI ZOTE NILIZOWAHI KULIPIA TANGU NINUNUE KIWANJA HICHO.

Nikawaambia kwamba mimi sikumbuki niliweka wapi risiti ya malipo hayo, lakini ninayo risti ya mwisho kulipia ambayo ni mwaka 2017. Lakini afsa alikataa kwamba yeye hawezi kurekebisha deni hilo mpaka risiti zote zipatikane na zitumwe ofisi ya Mkoa kwa ajili ya kuthibitisha. Mimi nilipata mshtuko baada ya kusikia hivyo! Ni kwa mara ya kwanza naambiwa nipeleke risiti zote! Baada ya kuona hivyo nikawa nimeingiwa na maswali kwamba;-

a) Je ni halali kwa halimashauri kuniomba risti zote za malipo ya zamani ilihali hata wao wanazo nakala? kwa nini wasiangalie kwenye nakala zao za awali-ndiyo maana nasema ni mbinu mpya ya kutuibia.

b) Pesa tunayolipa kwa kawaida tunaenda kulipia bank (NMB)- Sasa kwa nini wasiende NMB wakusanye bank statement na wachambue ni nani kalipa au la? Mazingira ya kuomba risiti zote ni kutuibia.

c) Je kwenye risti zao hakuna sehemu wamesema “tunza risiti.” Sasa kama hakuna tahadhari ya kutunza risiti, au wanataka kutumia mwanya huu kutuibia tu?
Baada ya muda siyo mrefu afsa mmoja aliyesaini kwa jina la MUSA YOSIA NKINDWA aliniletea “assessement” ambayo inaonesha kwamba sijawahi kulipia ardhi hiyo tangu mwaka 2008 mpaka leo, na kwamba ninadaiwa Tsh 730,000/=

Kinachonishangaza ni kwamba mimi nimekuwa nikilipia tangu nilipokinunua kiwanja hiki tatizo ni kwamba sina risti zote-sasa huyu ndugu eti amekataa hata mwaka niliolipia kwamba eti yeye hana mashine ya kurekebisha deni. Eti as long as ninadaiwa-basi nahitaji kulipa tu hakuna namna. Yaani anaongea bila hata kupepesa macho. Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba ninayo risti ya mwaka 2017. Nilimwambia kwamba yeye haoni kwamba mimi nimeshalipia huko nyuma kote? Je NIMEWEZAJE KUPATA RISTI YA MWAKA 2017 kutoka ardhi Igunga-Ikiwa SIKULIPA KULE NYUMA? Haingii kwenye akili hata kidogo.

Baadaye niligundua kitu kimoja:-
a) Inaonekana kwamba hapo zamani pengine walikuwa wanatupiga tu pesa na wala ilikuwa haiingizwi popote pale.

b) Kwa sasa wanataka kufidia madeni yao kwa kutukandamiza sisi kwa kisingizio cha mfumo mpya wa malipo.

c) Wanatumia mgongo wa raisi wetu kwamba hapa kazi tu kwa ajili ya kudhulumu wananchi wa kawaida.

Mimi naona watendaji wa namna hii:-

a) wanakatisha tamaa walipa kodi-mtu anaamua kuacha kulipa kodi kwa sababu ya uonevu

b) bado wana elementi za kupokea rushwa-kwa sababu huwezi kunilazimisha mimi pesa ambayo tayari nilishalipa-eti nilipe tena. hiyo kitu haiwezekani.

NAOMBA KUJUA KAMA HICHI KILICHOTENDWA NI HAKI AU SI HAKI. NA JE NAWEZA KUFANYAJE ILI KUTATUA SHIDA HII?

WATU TUNAYO NIA YA KULIPA KODI-LAKINI WAKUSANYAJI WA KODI HAWATUPI USHIRIKIANO.

NAHITAJI MSAADA TAFADHALI
Mimi mwananchi.
0769080629

Risiti ya malipo

1582543935382.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
IGUNGA: HII NDIYO MBINU MPYA YA KUWAIBIA WAMILIKI WA ARDHI.

Nasikitika kuwaambia kuwa kuna mbinu mpya ambayo mimi naona kama imebuniwa kwa ajili ya kuwaibia wananchI-Wazalendo wa wilaya ya Igunga kuhusu malipo ya kodi ya ardhi.

Ninacho kiwanja kimoja pale Igunga. Leo tarehe 21.02.2020 nilienda kwa ajili ya kulipia kodi ya ardhi baada ya kusafiri kwa muda mrefu na kushindwa kulipia kodi ya ardhi hiyo tangu 2018 hadi 2020.

Nilipoenda niliwaambia nataka kulipia; na nikaambiwa NIPELEKE RISISTI ZOTE NILIZOWAHI KULIPIA TANGU NINUNUE KIWANJA HICHO. Nikawaambia kwamba mimi sikumbuki niliweka wapi risiti ya malipo hayo, lakini ninayo risti ya mwisho kulipia ambayo ni mwaka 2017.

Lakini afsa alikataa kwamba yeye hawezi kurekebisha deni hilo mpaka risiti zote zipatikane na zitumwe ofisi ya Mkoa kwa ajili ya kuthibitisha.

Mimi nilipata mshtuko baada ya kusikia hivyo! Ni kwa mara ya kwanza naambiwa nipeleke risiti zote! Baada ya kuona hivyo nikawa nimeingiwa na maswali kwamba;-

a) Je ni halali kwa halimashauri kuniomba risti zote za malipo ya zamani ilihali hata wao wanazo nakala? kwa nini wasiangalie kwenye nakala zao za awali-ndiyo maana nasema ni mbinu mpya ya kutuibia.

b) Pesa tunayolipa kwa kawaida tunaenda kulipia bank (NMB)- Sasa kwa nini wasiende NMB wakusanye bank statement na wachambue ni nani kalipa au la? Mazingira ya kuomba risiti zote ni kutuibia.

c) Je kwenye risti zao hakuna sehemu wamesema “tunza risiti.” Sasa kama hakuna tahadhari ya kutunza risiti, au wanataka kutumia mwanya huu kutuibia tu?

Baada ya muda siyo mrefu afsa mmoja aliyesaini kwa jina la MUSA YOSIA NKINDWA aliniletea “assessement” ambayo inaonesha kwamba sijawahi kulipia ardhi hiyo tangu mwaka 2008 mpaka leo, na kwamba ninadaiwa Tsh 730,000/=

Kinachonishangaza ni kwamba mimi nimekuwa nikilipia tangu nilipokinunua kiwanja hiki tatizo ni kwamba sina risti zote-sasa huyu ndugu eti amekataa hata mwaka niliolipia kwamba eti yeye hana mashine ya kurekebisha deni.

Eti as long as ninadaiwa-basi nahitaji kulipa tu hakuna namna. Yaani anaongea bila hata kupepesa macho. Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba ninayo risti ya mwaka 2017. Nilimwambia kwamba yeye haoni kwamba mimi nimeshalipia huko nyuma kote? Je NIMEWEZAJE KUPATA RISTI YA MWAKA 2017 kutoka ardhi Igunga-Ikiwa SIKULIPA KULE NYUMA?

Haingii kwenye akili hata kidogo.
Baadaye niligundua kitu kimoja:-

a) Inaonekana kwamba hapo zamani pengine walikuwa wanatupiga tu pesa na wala ilikuwa haiingizwi popote pale.

b) Kwa sasa wanataka kufidia madeni yao kwa kutukandamiza sisi kwa kisingizio cha mfumo mpya wa malipo.

c) Wanatumia mgongo wa raisi wetu kwamba hapa kazi tu kwa ajili ya kudhulumu wananchi wa kawaida.
Mimi naona watendaji wa namna hii:-

a) wanakatisha tamaa walipa kodi-mtu anaamua kuacha kulipa kodi kwa sababu ya uonevu

b) bado wana elementi za kupokea rushwa-kwa sababu huwezi kunilazimisha mimi pesa ambayo tayari nilishalipa-eti nilipe tena. hiyo kitu haiwezekani.

NAOMBA KUJUA KAMA HICHI KILICHOTENDWA NI HAKI AU SI HAKI. NA JE NAWEZA KUFANYAJE ILI KUTATUA SHIDA HII?

WATU TUNAYO NIA YA KULIPA KODI-LAKINI WAKUSANYAJI WA KODI HAWATUPI USHIRIKIANO.

NAHITAJI MSAADA TAFADHALI
Mimi mwananchi.
0769080629

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda ngazi za juu zaidi,Omba kuonana na DED uone atasemaje?

Kama na yeye haeleweki tafuta namba za Waziri Lukuvi mpigie

Halafu waombe @moderators wapeleke juu Uzi jukwaa husika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ndugu yangu umejiunga JF tangu 2012 lakini umeshindwa kutambua ya kuwa hapa ulipofungua huu uzi wako sio mahala pake. "Members Only" Yaani hao watumishi wa Igunga au mkurugenzi au waziri muhusika hataweza kuuona malalamiko yako, mpaka awe mwanachama wa Jamiiforums, Tena asilimia kubwa tunakomea kule juu mfano mie nina mwaka ndio nafungua huku members only watu wanaishia "jukwaa la siasa au Hoja mchanganyiko
 
IGUNGA: HII NDIYO MBINU MPYA YA KUTUIBIA WALIPA KODI WA ARDHI?

Nasikitika kuwaambia kuwa kuna mbinu mpya ambayo mimi naona kama imebuniwa kwa ajili ya kuwaibia wananchI-Wazalendo wa wilaya ya Igunga kuhusu malipo ya kodi ya ardhi.
Ninacho kiwanja kimoja pale Igunga.

Leo tarehe 21.02.2020 nilienda kwa ajili ya kulipia kodi ya ardhi baada ya kusafiri kwa muda mrefu na kushindwa kulipia kodi ya ardhi hiyo tangu 2018 hadi 2020. Nilipoenda niliwaambia nataka kulipia; na nikaambiwa NIPELEKE RISISTI ZOTE NILIZOWAHI KULIPIA TANGU NINUNUE KIWANJA HICHO.

Nikawaambia kwamba mimi sikumbuki niliweka wapi risiti ya malipo hayo, lakini ninayo risti ya mwisho kulipia ambayo ni mwaka 2017. Lakini afsa alikataa kwamba yeye hawezi kurekebisha deni hilo mpaka risiti zote zipatikane na zitumwe ofisi ya Mkoa kwa ajili ya kuthibitisha. Mimi nilipata mshtuko baada ya kusikia hivyo! Ni kwa mara ya kwanza naambiwa nipeleke risiti zote! Baada ya kuona hivyo nikawa nimeingiwa na maswali kwamba;-
a) Je ni halali kwa halimashauri kuniomba risti zote za malipo ya zamani ilihali hata wao wanazo nakala? kwa nini wasiangalie kwenye nakala zao za awali-ndiyo maana nasema ni mbinu mpya ya kutuibia.
b) Pesa tunayolipa kwa kawaida tunaenda kulipia bank (NMB)- Sasa kwa nini wasiende NMB wakusanye bank statement na wachambue ni nani kalipa au la? Mazingira ya kuomba risiti zote ni kutuibia.
c) Je kwenye risti zao hakuna sehemu wamesema “tunza risiti.” Sasa kama hakuna tahadhari ya kutunza risiti, au wanataka kutumia mwanya huu kutuibia tu?
Baada ya muda siyo mrefu afsa mmoja aliyesaini kwa jina la MUSA YOSIA NKINDWA aliniletea “assessement” ambayo inaonesha kwamba sijawahi kulipia ardhi hiyo tangu mwaka 2008 mpaka leo, na kwamba ninadaiwa Tsh 730,000/=
Kinachonishangaza ni kwamba mimi nimekuwa nikilipia tangu nilipokinunua kiwanja hiki tatizo ni kwamba sina risti zote-sasa huyu ndugu eti amekataa hata mwaka niliolipia kwamba eti yeye hana mashine ya kurekebisha deni. Eti as long as ninadaiwa-basi nahitaji kulipa tu hakuna namna. Yaani anaongea bila hata kupepesa macho. Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba ninayo risti ya mwaka 2017. Nilimwambia kwamba yeye haoni kwamba mimi nimeshalipia huko nyuma kote? Je NIMEWEZAJE KUPATA RISTI YA MWAKA 2017 kutoka ardhi Igunga-Ikiwa SIKULIPA KULE NYUMA? Haingii kwenye akili hata kidogo.
Baadaye niligundua kitu kimoja:-
a) Inaonekana kwamba hapo zamani pengine walikuwa wanatupiga tu pesa na wala ilikuwa haiingizwi popote pale.
b) Kwa sasa wanataka kufidia madeni yao kwa kutukandamiza sisi kwa kisingizio cha mfumo mpya wa malipo.
c) Wanatumia mgongo wa raisi wetu kwamba hapa kazi tu kwa ajili ya kudhulumu wananchi wa kawaida.
Mimi naona watendaji wa namna hii:-
a) wanakatisha tamaa walipa kodi-mtu anaamua kuacha kulipa kodi kwa sababu ya uonevu
b) bado wana elementi za kupokea rushwa-kwa sababu huwezi kunilazimisha mimi pesa ambayo tayari nilishalipa-eti nilipe tena. hiyo kitu haiwezekani.
NAOMBA KUJUA KAMA HICHI KILICHOTENDWA NI HAKI AU SI HAKI. NA JE NAWEZA KUFANYAJE ILI KUTATUA SHIDA HII?

WATU TUNAYO NIA YA KULIPA KODI-LAKINI WAKUSANYAJI WA KODI HAWATUPI USHIRIKIANO.

NAHITAJI MSAADA TAFADHALI
Mimi mwananchi.
0769080629

Sent using Jamii Forums mobile app
Km unazo risti wewe to copy wapelekee inawezekana kipindi iko walikuwa bado hawajanza kutumia mfumo ardhi au mapato kutolea bill zenye control number so hela zilikuwa zina pokelewa kwa vitabu unapewa na risti ya kitabu

Swala la huyu afisa kugoma kupunguza au kubadilisha deni lako yupo sahihi ili deni libadilishwe lazima kuwe na documents zenye maelezo kitendo cha cha yeye kubadilisha deni bila documents na sababu za msing iyo tayari ni hoja inamuweka matatani kwa kukosesha mapato serikali

Swala ya kuchukua bank statement ya miaka ya nyuma nalo ni mlongo mrefu yaani mtu aanza kuangalia bank statement ya mwaka mzima au aingie stoo kuanza kutafuta jina lako na kiasi ulicholipa ni gumu sn linahitaji muda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IGUNGA: HII NDIYO MBINU MPYA YA KUTUIBIA WALIPA KODI WA ARDHI?

Nasikitika kuwaambia kuwa kuna mbinu mpya ambayo mimi naona kama imebuniwa kwa ajili ya kuwaibia wananchI-Wazalendo wa wilaya ya Igunga kuhusu malipo ya kodi ya ardhi.
Ninacho kiwanja kimoja pale Igunga.

Leo tarehe 21.02.2020 nilienda kwa ajili ya kulipia kodi ya ardhi baada ya kusafiri kwa muda mrefu na kushindwa kulipia kodi ya ardhi hiyo tangu 2018 hadi 2020. Nilipoenda niliwaambia nataka kulipia; na nikaambiwa NIPELEKE RISISTI ZOTE NILIZOWAHI KULIPIA TANGU NINUNUE KIWANJA HICHO.

Nikawaambia kwamba mimi sikumbuki niliweka wapi risiti ya malipo hayo, lakini ninayo risti ya mwisho kulipia ambayo ni mwaka 2017. Lakini afsa alikataa kwamba yeye hawezi kurekebisha deni hilo mpaka risiti zote zipatikane na zitumwe ofisi ya Mkoa kwa ajili ya kuthibitisha. Mimi nilipata mshtuko baada ya kusikia hivyo!

Ni kwa mara ya kwanza naambiwa nipeleke risiti zote! Baada ya kuona hivyo nikawa nimeingiwa na maswali kwamba;-

a) Je, ni halali kwa halmashauri kuniomba risiti zote za malipo ya zamani ilihali hata wao wanazo nakala? Kwanini wasiangalie kwenye nakala zao za awali? Ndiyo maana nasema ni mbinu mpya ya kutuibia.

b) Pesa tunayolipa kwa kawaida tunaenda kulipia bank (NMB). Sasa kwa nini wasiende NMB wakusanye bank statement na wachambue ni nani kalipa au la? Mazingira ya kuomba risiti zote ni kutuibia.

c) Je, kwenye risti zao hakuna sehemu wamesema “tunza risiti.” Sasa kama hakuna tahadhari ya kutunza risiti, au wanataka kutumia mwanya huu kutuibia tu?

Baada ya muda siyo mrefu afisa mmoja aliyesaini kwa jina la MUSA YOSIA NKINDWA aliniletea “assessement” ambayo inaonesha kwamba sijawahi kulipia ardhi hiyo tangu mwaka 2008 mpaka leo, na kwamba ninadaiwa Tsh 730,000/=

Kinachonishangaza ni kwamba mimi nimekuwa nikilipia tangu nilipokinunua kiwanja hiki; tatizo ni kwamba sina risti zote. Sasa huyu ndugu eti amekataa hata mwaka niliolipia kwamba eti yeye hana mashine ya kurekebisha deni. Eti as long as ninadaiwa, basi nahitaji kulipa tu hakuna namna.

Yaani anaongea bila hata kupepesa macho. Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba ninayo risti ya mwaka 2017. Nilimwambia kwamba yeye haoni kwamba mimi nimeshalipia huko nyuma kote? Je, NIMEWEZAJE KUPATA RISTI YA MWAKA 2017 kutoka ardhi Igunga-Ikiwa SIKULIPA KULE NYUMA? Haingii kwenye akili hata kidogo.

Baadaye niligundua kitu kimoja:-

a) Inaonekana kwamba hapo zamani pengine walikuwa wanatupiga tu pesa na wala ilikuwa haiingizwi popote pale.

b) Kwa sasa wanataka kufidia madeni yao kwa kutukandamiza sisi kwa kisingizio cha mfumo mpya wa malipo.

c) Wanatumia mgongo wa raisi wetu kwamba hapa kazi tu kwa ajili ya kudhulumu wananchi wa kawaida.

Mimi naona watendaji wa namna hii:-

a) Wanakatisha tamaa walipa kodi-mtu anaamua kuacha kulipa kodi kwa sababu ya uonevu.

b) Bado wana elementi za kupokea rushwa, kwa sababu huwezi kunilazimisha mimi pesa ambayo tayari nilishalipa, eti nilipe tena. Hicho kitu hakiwezekani.

NAOMBA KUJUA KAMA HIKI KILICHOTENDWA NI HAKI AU SI HAKI. NA JE, NAWEZA KUFANYAJE ILI KUTATUA SHIDA HII?

WATU TUNAYO NIA YA KULIPA KODI LAKINI WAKUSANYAJI WA KODI HAWATUPI USHIRIKIANO.

NAHITAJI MSAADA TAFADHALI
Mimi mwananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama haukukwepa ata mara moja, tembea kifua mbele usiogope. Kama haukutunza risiti na mamlaka husika haikutunza risiti (Copy) basi wanamakosa maana haioneshi ufanisi kwa watendaji wa serikali kuacha deni liwe kubwa wakati wanatambua uchumi wetu.
 
a) Inaonekana kwamba hapo zamani pengine walikuwa wanatupiga tu pesa na wala ilikuwa haiingizwi popote pale.
Nimeshukuru nilipoona jibu hili, kwa sababu nilikuwa tayari na mawazo ya kukulaumu wewe kwamba ndie mbabaishaji.

Lakini kwa bahati mbaya sana sioni utakavyochomoka hapo.

Bila risiti za huko nyuma, huna wigo wa kuepuka dhahama hilo.

Pole yako mkuu.
 
MBINU MPYA YA KUWAIBIA WAMILIKI WA ARDHI.

Nasikitika kuwaambia kuwa kuna mbinu mpya ambayo mimi naona kama imebuniwa kwa ajili ya kuwaibia wananchi-Wazalendo wa wilaya ya Igunga kuhusu malipo ya kodi ya ardhi.

Ninacho kiwanja pale Igunga. Tarehe 21.02.2020 nilienda kwa ajili ya kulipia kodi ya ardhi baada ya kusafiri kwa muda mrefu na kushindwa kulipia kodi ya ardhi hiyo tangu 2018 hadi 2020.

Nilipoenda niliwaambia nataka kulipia; na nikaambiwa NIPELEKE RISISTI ZOTE NILIZOWAHI KULIPIA TANGU NINUNUE KIWANJA HICHO.

Nikawaambia kwamba mimi sikumbuki niliweka wapi risiti ya malipo hayo, lakini ninayo risti ya mwisho kulipia ambayo ni mwaka 2017. Lakini Afisa alikataa kwamba yeye hawezi kurekebisha deni hilo mpaka risiti ZOTE zipatikane na zitumwe ofisi ya Mkoa kwa ajili ya kuthibitisha.

Mimi nilipata mshtuko baada ya kusikia hivyo! Ni kwa mara ya kwanza naambiwa nipeleke RISITI ZOTE! Baada ya kuona hivyo nikawa nimeingiwa na maswali kwamba;-

a) Je ni halali kwa halmashauri kuniomba RISITI ZOTE za malipo ya zamani ilihali hata wao wanazo nakala? Kwa nini wasiangalie kwenye nakala zao za awali-ndiyo maana nasema ni mbinu mpya ya kutuibia.

b) Pesa tunayolipa kwa kawaida tunaenda kulipia bank (NMB)- Sasa kwa nini wasiende NMB wakusanye bank statement na wachambue ni nani kalipa au la? Mazingira ya kuomba risiti zote ni kutuibia.

c) Je kwenye risti zao hakuna sehemu wamesema “tunza risiti.” Sasa kama hakuna tahadhari ya kutunza risiti, au wanataka kutumia mwanya huu kutuibia tu?

Kwanini wanafanya uhuni huu? Naomba kweli hili liangaziwe!

Mara baada ya muda siyo mrefu afsa mmoja aliyesaini kwa jina la MUSA YOSIA NKINDWA aliniletea “land assessment” ambayo inaonesha kwamba sijawahi kulipia ardhi hiyo tangu mwaka 2008 mpaka leo, na kwamba ninadaiwa Tsh 730,000/=

Kinachonishangaza ni kwamba mimi nimekuwa nikilipia tangu nilipokinunua kiwanja hiki tatizo ni kwamba sina risti zote-sasa huyu ndugu eti amekataa hata mwaka niliolipia kwamba eti yeye hana mashine ya kurekebisha deni. Akasema kwa kuwa ninadaiwa-basi nahitaji kulipa tu hakuna namna.

Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba ninayo risti ya mwaka 2017. Nilimwambia kwamba yeye haoni kwamba mimi nimeshalipia huko nyuma kote? Je NIMEWEZAJE KUPATA RISTI YA MWAKA 2017 kutoka ofisi ya ardhi Igunga-Ikiwa SIKULIPA KULE NYUMA? Haingii kwenye akili hata kidogo.

Mimi naona watendaji wa namna hii:-
a) Wanakatisha tamaa walipa kodi-mtu anaamua kuacha kulipa kodi kwa sababu ya uonevu
b) Bado wana elementi za kupokea rushwa-kwa sababu huwezi kunilazimisha mimi pesa ambayo tayari nilishalipa-eti nilipe tena. hiyo kitu haiwezekani.

NAOMBA KUJUA KAMA HIKI KILICHOTENDWA NI HAKI AU SI HAKI. NA JE NAWEZA KUFANYAJE ILI KUTATUA SHIDA HII?

WATU TUNAYO NIA YA KULIPA KODI, LAKINI WAKUSANYAJI WA KODI HAWATUPI USHIRIKIANO.

NAHITAJI MSAADA TAFADHALI
Mimi mwananchi.
0769080629
 
Binafsi niwashukuru wote ambao mmechangia katika uzi huu.
Jambo la kufurahisha ni kwamba AFSA ARDHI WA IGUNGA amenipigia simu na tuliongea na kuahidi kwamba atalifanyia kazi.

Kwa pamoja tulibaini kwamba palikuwa na lugha gongana kati yangu na afsa aliyenihudumia siku hiyo.

Kwa kweli nimefarijika sana sana kuona kwamba hoja yangu imeshughulikiwa vizuri sana.

Asante JF kwa msaada wenu kufikisha ujumbe wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IGUNGA: HII NDIYO MBINU MPYA YA KUTUIBIA WALIPA KODI WA ARDHI?

Nasikitika kuwaambia kuwa kuna mbinu mpya ambayo mimi naona kama imebuniwa kwa ajili ya kuwaibia wananchI-Wazalendo wa wilaya ya Igunga kuhusu malipo ya kodi ya ardhi.
Ninacho kiwanja kimoja pale Igunga.

Leo tarehe 21.02.2020 nilienda kwa ajili ya kulipia kodi ya ardhi baada ya kusafiri kwa muda mrefu na kushindwa kulipia kodi ya ardhi hiyo tangu 2018 hadi 2020. Nilipoenda niliwaambia nataka kulipia; na nikaambiwa NIPELEKE RISISTI ZOTE NILIZOWAHI KULIPIA TANGU NINUNUE KIWANJA HICHO.

Nikawaambia kwamba mimi sikumbuki niliweka wapi risiti ya malipo hayo, lakini ninayo risti ya mwisho kulipia ambayo ni mwaka 2017. Lakini afsa alikataa kwamba yeye hawezi kurekebisha deni hilo mpaka risiti zote zipatikane na zitumwe ofisi ya Mkoa kwa ajili ya kuthibitisha. Mimi nilipata mshtuko baada ya kusikia hivyo! Ni kwa mara ya kwanza naambiwa nipeleke risiti zote! Baada ya kuona hivyo nikawa nimeingiwa na maswali kwamba;-

a) Je ni halali kwa halimashauri kuniomba risti zote za malipo ya zamani ilihali hata wao wanazo nakala? kwa nini wasiangalie kwenye nakala zao za awali-ndiyo maana nasema ni mbinu mpya ya kutuibia.

b) Pesa tunayolipa kwa kawaida tunaenda kulipia bank (NMB)- Sasa kwa nini wasiende NMB wakusanye bank statement na wachambue ni nani kalipa au la? Mazingira ya kuomba risiti zote ni kutuibia.

c) Je kwenye risti zao hakuna sehemu wamesema “tunza risiti.” Sasa kama hakuna tahadhari ya kutunza risiti, au wanataka kutumia mwanya huu kutuibia tu?
Baada ya muda siyo mrefu afsa mmoja aliyesaini kwa jina la MUSA YOSIA NKINDWA aliniletea “assessement” ambayo inaonesha kwamba sijawahi kulipia ardhi hiyo tangu mwaka 2008 mpaka leo, na kwamba ninadaiwa Tsh 730,000/=

Kinachonishangaza ni kwamba mimi nimekuwa nikilipia tangu nilipokinunua kiwanja hiki tatizo ni kwamba sina risti zote-sasa huyu ndugu eti amekataa hata mwaka niliolipia kwamba eti yeye hana mashine ya kurekebisha deni. Eti as long as ninadaiwa-basi nahitaji kulipa tu hakuna namna. Yaani anaongea bila hata kupepesa macho. Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba ninayo risti ya mwaka 2017. Nilimwambia kwamba yeye haoni kwamba mimi nimeshalipia huko nyuma kote? Je NIMEWEZAJE KUPATA RISTI YA MWAKA 2017 kutoka ardhi Igunga-Ikiwa SIKULIPA KULE NYUMA? Haingii kwenye akili hata kidogo.

Baadaye niligundua kitu kimoja:-
a) Inaonekana kwamba hapo zamani pengine walikuwa wanatupiga tu pesa na wala ilikuwa haiingizwi popote pale.

b) Kwa sasa wanataka kufidia madeni yao kwa kutukandamiza sisi kwa kisingizio cha mfumo mpya wa malipo.

c) Wanatumia mgongo wa raisi wetu kwamba hapa kazi tu kwa ajili ya kudhulumu wananchi wa kawaida.

Mimi naona watendaji wa namna hii:-

a) wanakatisha tamaa walipa kodi-mtu anaamua kuacha kulipa kodi kwa sababu ya uonevu

b) bado wana elementi za kupokea rushwa-kwa sababu huwezi kunilazimisha mimi pesa ambayo tayari nilishalipa-eti nilipe tena. hiyo kitu haiwezekani.

NAOMBA KUJUA KAMA HICHI KILICHOTENDWA NI HAKI AU SI HAKI. NA JE NAWEZA KUFANYAJE ILI KUTATUA SHIDA HII?

WATU TUNAYO NIA YA KULIPA KODI-LAKINI WAKUSANYAJI WA KODI HAWATUPI USHIRIKIANO.

NAHITAJI MSAADA TAFADHALI
Mimi mwananchi.
0769080629

Risiti ya malipo

View attachment 1367951

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa namba ya simu, identity revealed already!
 
Back
Top Bottom