MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
IGP inaonekana yupo biased na Upinzani wa nchi yetu. Inaonekana ni kama naye ameshakua Mwanasiasa hasa toka chama tawala. Atambue kuwa utulivu hauletwi kwa vitisho.
Anaposema kuna mtu anataka kufa, unamaanisha nini na atauawa na nani? Mzee wangu IGP angalia maneno ya kuongea achanana na chuki za wazi wazi. Siku yakitokea ya kutokea hizi kauli zako ni reference na bahati nzuri wewe ni mwanasheria unajua nini unafanya.
Unashindwa kuiga mfano wa aliyekua IGP na kachero mbobevu Said Mwema ambaye alijikita kulea zaidi pande zote zinazosigana kama watoto wake. IGP umesoma management kwa ajili ya kuongoza na kusuluhisha na siyo kutisha. Tumia muda wako mwingi kutoa usia na ushauri na siyo vitisho. Saidia watu kufahamu kutii sheria.
Hivi kweli ndugu yetu hujui madhara ya kauli zako?
Anaposema kuna mtu anataka kufa, unamaanisha nini na atauawa na nani? Mzee wangu IGP angalia maneno ya kuongea achanana na chuki za wazi wazi. Siku yakitokea ya kutokea hizi kauli zako ni reference na bahati nzuri wewe ni mwanasheria unajua nini unafanya.
Unashindwa kuiga mfano wa aliyekua IGP na kachero mbobevu Said Mwema ambaye alijikita kulea zaidi pande zote zinazosigana kama watoto wake. IGP umesoma management kwa ajili ya kuongoza na kusuluhisha na siyo kutisha. Tumia muda wako mwingi kutoa usia na ushauri na siyo vitisho. Saidia watu kufahamu kutii sheria.
Hivi kweli ndugu yetu hujui madhara ya kauli zako?