Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Ujue yeye ana Jeshi akitoa amri wewe ndiyo utaumia na wala siyo huyo Lissu yeye atakjmbilia Ubelgiji au na wewe tayari una uraia wa Ubelgiji.
Mbona unachekesha, eti Sirro ana jeshi, jeshi gani? Yaani huyu Sirro ambaye kwa taratibu anatakiwa ampigie Mh. Lissu saluti! Acha utani, wenye jeshi ni wananchi na hata hiyo serikali iliyopo madarakani ni ya wananchi japo wapo wapumbavu hata hilo hawalijui. Kumbuka Tanzania itaendelea kuwepo bila CCM, bila Chadema, bila Magufuli, bila Sirro, bila wewe, bila mimi na bila vichaa wote wanaoamini wana hati miliki ya taifa hili.
 
Moshi ule ugeni mliouhitaji kwa mahaba makubwa, IGP amewalahisishia. Lissu itikia wito na kisha nenda kaendelee na kampeni zako KLM. Natambua wanataka kukutoa ktk reli kipindi hiki, yaani huku kikao cha maadili cha tume ya taifa ya uchaguzi, kule wito wa polisi, lkn popote ulipo wananchi wenye kukuunga mkono wapo.

Mpe nafasi sasa Zitto naye aendelee na mapambano kusini mwa nchi yetu. Ni lazima kitaeleweka tu mwaka huu.
 
Talk is cheap utekelezaji wa sheria inabidi uwe consistent ili message ifike na watu waheshimu taratibu. Just as my man Skinner did with his pigeons you got to set the right operant conditionings.

We get it vyombo vya ulinzi na usalama vina sympathy na Lissu na wamejitahidi vya kutosha kumfumbia macho. But Lissu is a mental case siku zinavyoenda na hizi empty threats ndio anazidi amini Tanzania inamuogopa yeye na huyo Amsterdam wake.

Something needs to be done kumrudisha kwenye mstari afanye siasa za kistaarabu na kuacha kujifanya a ‘demagogue’ wanna be or else; hakuna namna.
 
Lisuu ni 🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu yuko ndani yake wazee
 
What is your point here!!?
 
Kwan mkuu kamchokoza nani
Lissu anaongea kitu live and direct kwan si bima ya afya iko kwenye ilan yao
Kwan vipalata si wizi mtupu kuna picha ya muhusika pale hizo pesa zinapitiwa na mkaguzi wa serikali acha mawazo finyu kama ni uongo kwa nn deni la Taifa lifike 64% tok 40% this is fucking shit we cant entangain wizi afu akisema manasema akaripoti polisi Kwan hao askari si nduguzetu wanaishi Mbinguni ama wanavuta hewa ya carbon monoxide si oxgen wacha mtu aseme hali halisi ndo utaratibu wake 💯🤸🏿‍♀️🤸🏿‍♀️🤸🏿‍♀️🤸🏿‍♀️🤸🏿‍♀️🤔🤔🤔
 
Na safari hii yasifanyike makosa.
 
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Kiongozi wa upinzani siku zote lazima ujiandae kisaikolojia na kunyea ndoo si rahisi kupambana na mwenye dola usipokuwa jasiri
 
Hata Siro anatakiwa kutumia hekima sasa kila sehemu Lissu anapokwenda watu wanatamani kumfata sasa aende Moshi kituoni ni Kama anamfanyia kampeni mpaka polisi maana polisi watakuwa wamefanikiwa kufatwa na mgombea wa kiti cha uraisi na tume hivyo hivyo sasa hapo wajiongeze.
 
Lissu hawezi kwenda huko.

Kanuni za Maadili ya Uchaguzi zinaelekeza Serikali au mdau yeyote asiyeridhika na mwenendo wa mgombea kupeleka malalamiko kwenye Kamati ya Maadili ya Uchaguzi. Polisi ni sehemu ya Serikali; wadau wengine ni vyama vya Siasa na NEC.

Kwa tangazo hili sasa tunaweza kuunganisha dots kubaini maudhui ya tamko la leo la Ubalozi wa Marekani!

Ninaamini busara itawarudia wahusika kujizuia kuwasha moto kabla ya wakati wake.
 
Siro anatia aibu kutii maagizo, awaambie mapolisi wake waache dabo standard, wafanye kazi kwa sheria na sio maagizo ili kuepuka wasikaripiwe.
 
Lisu siasa hawezi ugombea uraisi ni kutafuta kuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.Yeye badala ya kuwarahizishia kazi zao apendwe anafanya ziwe ngumu na anawafokea

Hawamhitaji MTU wa aina hiyo anayefanya kazi yao kuwa ngumu awe amiri jedhi wao
Uchaguzi mkuu vyombo vya ulinzi na usalama hawatampa kura yeye na chadema kwa kufanya kazi zao kuwa ngumu unnecessary
 
Hata sijaelewa...nani kalalamika kwa IGP?!Aripoti kituoni,kwa amri.ya IGP? ama??
 
Siku zote polisi ndio uwachokoza wapinzani, mabomu ya nini kwa watu wasiofanya fujo.
Hata aibu hawana kipi wanachojifunia Hali maisha yao magumu mbwa choka mbaya 5 yrs Hakuna nyongeza mishahara.
 
Hata sijaelewa...nani kalalamika kwa IGP?!Aripoti kituoni,kwa amri.ya IGP? ama??
Yule bwana baada ya kumuagiza mahera wa tume asiyejua Sheria za tume kugonga mwamba kaamua kumtumia ziro kumpiga biti,huu wito wa mitandaonii utaishia kwenye mitandao hivyo hivyo.
Hakuna kosa kumfokea polisi asiyefata sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…