Mbona unachekesha, eti Sirro ana jeshi, jeshi gani? Yaani huyu Sirro ambaye kwa taratibu anatakiwa ampigie Mh. Lissu saluti! Acha utani, wenye jeshi ni wananchi na hata hiyo serikali iliyopo madarakani ni ya wananchi japo wapo wapumbavu hata hilo hawalijui. Kumbuka Tanzania itaendelea kuwepo bila CCM, bila Chadema, bila Magufuli, bila Sirro, bila wewe, bila mimi na bila vichaa wote wanaoamini wana hati miliki ya taifa hili.Ujue yeye ana Jeshi akitoa amri wewe ndiyo utaumia na wala siyo huyo Lissu yeye atakjmbilia Ubelgiji au na wewe tayari una uraia wa Ubelgiji.
Moshi ule ugeni mliouhitaji kwa mahaba makubwa, IGP amewalahisishia. Lissu itikia wito na kisha nenda kaendelee na kampeni zako KLM. Natambua wanataka kukutoa ktk reli kipindi hiki, yaani huku kikao cha maadili cha tume ya taifa ya uchaguzi, kule wito wa polisi, lkn popote ulipo wananchi wenye kukuunga mkono wapo.Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.
Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.
"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro
IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, amri hiyo inatokana na IGP kuwatuhumu baadhi ya viongozi wa Chadema kutokana na matendo mbalimbali ambayo wanayofanya.
Akifafanua suala hili IGP Sirro amesema "Nimeona matukio kadhaa yakifanyika na Viongozi wa Chadema, wamekuwa wakikaripia na kuwagombeza Askari Polisi. Nimeona mara kadhaa Tundu Lissu anagombana na Viongozi wa Polisi".
"Jana nimeongea na Kiongozi wake Bwana Mbowe akae na viongozi wake wazungumze suala la kutii sheria bila shuruti. Anayoyafanya Watanzania wenye hekima na Wazalendo wanaona. Lissu hayuko juu ya sheria polisi tukiamua kutimiza wajibu wetu asilalamike na chama chake. Vyama vipo karibu kumi na mbili, Jeshi la Polisi limepewa wajibu wa kulinda watu na mali zao ndani ya nchi hii, yeye hana uwezo wowote wa kupambana na Jeshi la Polisi."
"Asije akafika mahali akawa na kiburi akadhani ana uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi. Niwasihi sana na niwaombe sana ndugu zetu wa Chama cha Chadema hii tabia iishe. Tundu Lissu aende akaripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aende akaeleze aliyoyafanya jana. Lakini niwaombe wanasiasa na Viongozi wote katika ngazi zote. Suala la Udiwani, Ubunge, Urais bila amani na utulivu huwezi kufanya siasa na huna uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi wewe kama wewe. Kwahiyo tuheshimu sheria zilizopo ili tuchague viongozi tunaowataka lakini inaonekana kuna ajenda ya siri ambayo viongozi wachache wanayoitaka ili uchaguzi usifanyike. Nawaambia uchaguzi utafanyika lakini itafika mahala tutawashughulikia sana."
View attachment 1587125
Lisuu ni 🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu yuko ndani yake wazeeUnafikir Lissu ni Lowassa au Kamuulize afande Muroto mzee wa kipigo cha mbwakoko na ushupavu wake na vitisho ila kwa Lissu alinywea maana Lissu alimfuata live akamwambia mzee nipe gari langu
Achana na huyo muulize huyo kamanda wa Nyamongo alipokuwa anapiga watu mabomu baada ya Lissu kumfuata ikawaje ikabidi asalimu amri
SASA IKO HIVI Lissu ni kama Mafuriko kabla ya kukukumbuka unaweza sema sijui tunayazuia hivi au vile ila yakikukumba lazma uhame nyumba
Kama huamini subiria baada ya kwenda huko kwa Sirro kitatokea nini lazma Siro atakuja na lugha za kistaarabu ambazo wewe Mataga hutotegemea
What is your point here!!?Mbona unachekesha, eti Sirro ana jeshi, jeshi gani? Yaani huyu Sirro ambaye kwa taratibu anatakiwa ampigie Mh. Lissu saluti! Acha utani, wenye jeshi ni wananchi na hata hiyo serikali iliyopo madarakani ni ya wananchi japo wapo wapumbavu hata hilo hawalijui. Kumbuka Tanzania itaendelea kuwepo bila CCM, bila Chadema, bila Magufuli, bila Sirro, bila wewe, bila mimi na bila vichaa wote wanaoamini wana hati miliki ya taifa hili.
Kwan mkuu kamchokoza naniTalk is cheap utekelezaji wa sheria inabidi uwe consistent ili message ifike na watu waheshimu taratibu. Just as my man skinner did with his pigeons you got to set the right operant conditionings.
We get it vyombo vya ulinzi na usalama vina sympathy na Lissu na wamejitahidi vya kutosha kumfumbia macho. But Lissu is a mental case siku zinavyoenda na hizi empty threats ndio anazidi amini Tanzania inamuogopa yeye na huyo Amsterdam wake.
Something needs to be done kumrudisha kwenye mstari afanye siasa za kistaarabu na kuacha kujifanya a ‘demagogue’ wanna be or else; hakuna namna.
Lissu hawezi fuata matamko ya mitandaoni, Wote wanaomlalamikia kwa madai ya kukiuka taratibu wafate sheria ili sheria iamue si matamko.Ndo keshaitwa Polisi sasa, ingia barabarani tuone, ...
Na safari hii yasifanyike makosa.Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.
Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.
"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro
IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, amri hiyo inatokana na IGP kuwatuhumu baadhi ya viongozi wa Chadema kutokana na matendo mbalimbali ambayo wanayofanya.
Akifafanua suala hili IGP Sirro amesema "Nimeona matukio kadhaa yakifanyika na Viongozi wa Chadema, wamekuwa wakikaripia na kuwagombeza Askari Polisi. Nimeona mara kadhaa Tundu Lissu anagombana na Viongozi wa Polisi".
"Jana nimeongea na Kiongozi wake Bwana Mbowe akae na viongozi wake wazungumze suala la kutii sheria bila shuruti. Anayoyafanya Watanzania wenye hekima na Wazalendo wanaona. Lissu hayuko juu ya sheria polisi tukiamua kutimiza wajibu wetu asilalamike na chama chake. Vyama vipo karibu kumi na mbili, Jeshi la Polisi limepewa wajibu wa kulinda watu na mali zao ndani ya nchi hii, yeye hana uwezo wowote wa kupambana na Jeshi la Polisi."
"Asije akafika mahali akawa na kiburi akadhani ana uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi. Niwasihi sana na niwaombe sana ndugu zetu wa Chama cha Chadema hii tabia iishe. Tundu Lissu aende akaripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aende akaeleze aliyoyafanya jana. Lakini niwaombe wanasiasa na Viongozi wote katika ngazi zote. Suala la Udiwani, Ubunge, Urais bila amani na utulivu huwezi kufanya siasa na huna uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi wewe kama wewe. Kwahiyo tuheshimu sheria zilizopo ili tuchague viongozi tunaowataka lakini inaonekana kuna ajenda ya siri ambayo viongozi wachache wanayoitaka ili uchaguzi usifanyike. Nawaambia uchaguzi utafanyika lakini itafika mahala tutawashughulikia sana."
View attachment 1587125
Kiongozi wa upinzani siku zote lazima ujiandae kisaikolojia na kunyea ndoo si rahisi kupambana na mwenye dola usipokuwa jasiriNyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Yule bwana baada ya kumuagiza mahera wa tume asiyejua Sheria za tume kugonga mwamba kaamua kumtumia ziro kumpiga biti,huu wito wa mitandaonii utaishia kwenye mitandao hivyo hivyo.Hata sijaelewa...nani kalalamika kwa IGP?!Aripoti kituoni,kwa amri.ya IGP? ama??