Rogers Paul
Member
- Jun 15, 2017
- 22
- 13
hahaha bonge point, kama wameshikiwa akili zao vileUhalifu umekuwapo tangu dunia ianze na siyo hapa Tanzania pekee. Tatizo lenu mnachukulia issue ya Lissu kama special sana na mnaikuza weeee....ni uhalifu tu wa kawaida.