tunapoelekea kusheherekea sikukuu ya pasaka kuna taaarifa magaidi wamejiandaa kufanya shambulizi hasa maeneo yenye mikusanyiko makanisani ndio walengwa wakubwa na vituo vya mabasi wanapanga kuwatumia hasa raia wa kigeni hata mabasi ya kusafirishia abiria sio salama chukua tahadhari binafsi