IGP Chonde chonde ujinga huu usitokee Mbeya!!

IGP Chonde chonde ujinga huu usitokee Mbeya!!

Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.

Kwa hiyo hiyo sheria ya kumfuata RPC wewe umeitoa wapi?? wewe ZUZU kwelikweli. Kwa hiyo rpc wewe ndo umemuona mtu wa muhimu mno kuruhusu au kutokuruhusu mikutano na maandamano??
hivi nyie ccm mbona mnaonekana hata uwezo wa kufikiria umefika ukomo?? ndo maana nchi inawashinda sasa, kila mkikurupuka mnakuja na idea za ajabuajabu tu kama hilo wazo lako. IF YOU HAVE DONE EVERYTHING IN YOUR POWER AND FAILED, WHY CAN'T YOU RESIGN???? huu ndo ushauri katika mfumo wa swali aliopewa mchovu wenu Pinda mzee wa kujilizaliza utadhani kibinti kigeni mjini kilichopotea njia mtaa wa Kongo Kariakoo. Alipewa ushauri huu na Jembe la ukweli Mh. Tundu Antiphas Mughwayi Lissu.




Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waliondoe madarakani hili li serikali la ccm MAONGO/MAJAMBAZI/MAFISADI/WAUAJI.
 
Duu hivi huyu majebere anfikiria kwa kutumia medula oblangata? Kwa katiba ipi inayo sema kazi ya polisi ni kutoa vibali?
 
majebere huwa unafikiria kwa kutumia nini maana wewe ni mjinga sana vitu viko wazi wewe unaongea ujinga why killing people?hiyo kwako weweunaona sawa pumbavu saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana wewe
kuna wakati niliwahi kufikiri majebele lazima ana mtindio wa ubongo na huwa nadhani unaweza ukamfundisha mbwa akafikiri na kutenda vizuri kuliko huyu mtu.
 
Tunaisubiri kwa hamu huku mbeya M4C.Wakazi wa mbeya ni watulivu lakini wasichokozwe
 
Umenena vyema mkuu, hakuna aliye juu ya sheria.
Sote raia na polisi tunapaswa kufuata sheria na kila kitu kitakwenda sawa.

Mkuu kufuata Sheria in muhimu.
Lakini Sheria hiyo hiyo ina mizani zake na Mahakama pia zipo kwa ajili ya kufafanua sheria hizo.
Malalamiko ya wananchi wengi ni Polisi kukosa mizani hiyo.
Ni kitu cha kushangaza kwa mtu anayeonekana amestaarabika kusimamia mauaji ya Mtanzania kwa vile tu amekatazwa Suala Fulani. Na ingekuwa hivyo basi nchi hii ingejitwalia sifa ya kuitwa A Police State.

Na probably I will mince no words about this , kuitwa polisi katika nchi hii inaanza kumaanisha mtu kukosa ustaarabu fulani..
 
majebere huwa unafikiria kwa kutumia nini maana wewe ni mjinga sana vitu viko wazi wewe unaongea ujinga why killing people?hiyo kwako weweunaona sawa pumbavu saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana wewe

Usihangaike na mtu kama majebere! "Wanamkimbiza wenzie" tafakari
 
Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.
ACHA UJINGA WEWE!.. Polisi wanataarifiwa ili watoe ulinzi, hawaombwi ruhusa. Wewe unamuona RPC kama MUNGU!... HAKUNA CHAMA KINACHOOMBA RUHUSA!.. Ni wajibu wa polisi KUSHAURIANA na viongozi wa vyama vya siasa kabla ya kuzuia mikutano!....
 
Sasa si fanyeni mambo yenu bila kupitia kwa RPC ndio mtaelewa nini nasema. Lazima ruhusa ya polisi na hilo linajulikana wazi.
Wakipiga risasi polisi hafi mwanachadema tu!.. anakufa mwana CCM, rafiki yako, nduguyo na wengineo!.. VURUGU za polisi haziwaachi wao na familia zao salama! kila mtu ni mhanga! ... KUmbuka TUNISIA na LIBYA!...
 
wakumbusheni historia huko Mbeya kwa nini Mwaikambo afe siku moja kabla hajatangaza kujiunga na chadema misterious death ajali ya gari alfajiriProf Mwaikusa-eti kamuona Daudi BOT morgue killed at his house Mwandosya -PoisonedMwakyembe- Poisoned Ulimboka -Abused,emotionally mentally sexually and phyisicallyDaudi Mwangosi-killed in hand of policeWhere is Mwangosis camera
Siku wakiibuka kuwapiga vijana wa MBY kwa mabomu ya machozi, Watakumbushia machungu yote walioyapata "VIONGOZI" waliowapenda/wanaowapenda ktk orodha hiyo. WAKIUA laana itawarudia!!!!
 
Unafikiria kwa kutumia masaburi,nchi ya baba yako hii mpaka useme uwachagulie sehemu ya maandamano,kwanza huwa wanaharibu mali za watu au anythin,na mikutano na maandamano hivi umewahi kuona wanafanya bila vibali,si huwa wanapewa then wanakuja kufanyiwa fujo??think before u talk if you have nothin to say then shut ur mouth.....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Mkuu. ..utaonekana mtu wa ajabu sana ukitetea vurugu na fujo.....lakini vitu hivi vina faida inategemea uko kundi gani
WAFANYAFUJO
Hutumia hali ya vurugu kupora mali za watu wengine.
WATULIZAFUJO
Nao hutumia nafasi hiyo kupora mali(simu,pesa,vidani nk ) za raia wanakutana nao kwenye uwanja wa "vita"
WANASIASA
Nao hutumia vifo/majeruhi vinavyotokana na vurugu kupiga siasa.
.....................kwa hiyo mnapojadili ishu ya maandamano labda mngelitupia jicho na hili ili muangalie kama kuna uwezekano wa fujo/vurugu kutokea au la
 
majebele uwezo wake wa kifikiri ni mdogo sana. hata mambo yakutumia common sense yanakushinda, wewe ni gamba la ajabu. hata magamba wenzeni tunao mitaani kwa hili wanailaumu serikali kwani wanasiasa hawana fujo bali c.c.m inatumia polisi badala ya kujibu hoja za wapinzani majukwaani. c.c.m wamebanwa kila kona
 
Mkuu kufuata Sheria in muhimu.
Lakini Sheria hiyo hiyo ina mizani zake na Mahakama pia zipo kwa ajili ya kufafanua sheria hizo.
Malalamiko ya wananchi wengi ni Polisi kukosa mizani hiyo.
Ni kitu cha kushangaza kwa mtu anayeonekana amestaarabika kusimamia mauaji ya Mtanzania kwa vile tu amekatazwa Suala Fulani. Na ingekuwa hivyo basi nchi hii ingejitwalia sifa ya kuitwa A Police State.

Na probably I will mince no words about this , kuitwa polisi katika nchi hii inaanza kumaanisha mtu kukosa ustaarabu fulani..

nina mashaka kuwa majebere si mtanzania. Amekalia majibu ya kipumbavu tu wala haoni hata mawazo mujarabu kama haya kutoka kwa wanaccm wenzake. Shame on him
 
Karibuni Mbeya policcm tuko wengi,tunamisimamo yetu na kamwe hatukubali kuyumbishwa na yeyote kwa masuala yale tunayoamini na kuyasimamia.Mbeya tumehujumiwa vya kutosha na hata katika kitabu cha Prof.Mwandosya...SAUTI YA UMMA NI SAUTI YA DEMOKRASIA...kuna mambo mengi ya maendeleo tumehujumiwa.Na kwa taarifa yenu,ccm mna kete ya mwisho ya Mwandosya walau kukifanya chama kiheshimike jijini hapa na atakapopigwa teke kwenye urais 2015,ndiyo mwisho wa ccm,Mbeya. Naamini endapo mtaendeleza siasa chafu zinazowatia aibu hata wachache wenye heri ndani ya ccm ili mkisambaratishe CHADEMA basi karibu Mbeya na mfumo huo ndipo mtajua,hakuna mkoa wenye watu wanaosimamia utu,maslahi na haki za binadamu kama Mbeya.Sisi huku hatugombani kivyama bali tunagombania maendeleo ya mkoa...wanaccm wa Mbeya si sawa wengineo,Wanachadema wa Mbeya vivyo hivyo...hatutakubali mtu wa Mbeya afe kisa yeye ni CHADEMA au CCM! Na kama kuna lolote dhidi ya mwa...basi anzeni na Mwamunyange!
 
Karibuni Mbeya policcm tuko wengi,tunamisimamo yetu na kamwe hatukubali kuyumbishwa na yeyote kwa masuala yale tunayoamini na kuyasimamia.Mbeya tumehujumiwa vya kutosha na hata katika kitabu cha Prof.Mwandosya...SAUTI YA UMMA NI SAUTI YA DEMOKRASIA...kuna mambo mengi ya maendeleo tumehujumiwa.Na kwa taarifa yenu,ccm mna kete ya mwisho ya Mwandosya walau kukifanya chama kiheshimike jijini hapa na atakapopigwa teke kwenye urais 2015,ndiyo mwisho wa ccm,Mbeya. Naamini endapo mtaendeleza siasa chafu zinazowatia aibu hata wachache wenye heri ndani ya ccm ili mkisambaratishe CHADEMA basi karibu Mbeya na mfumo huo ndipo mtajua,hakuna mkoa wenye watu wanaosimamia utu,maslahi na haki za binadamu kama Mbeya.Sisi huku hatugombani kivyama bali tunagombania maendeleo ya mkoa...wanaccm wa Mbeya si sawa wengineo,Wanachadema wa Mbeya vivyo hivyo...hatutakubali mtu wa Mbeya afe kisa yeye ni CHADEMA au CCM! Na kama kuna lolote dhidi ya mwa...basi anzeni na Mwamunyange!

hadi mwili umenisisimka kusoma hii comenti!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom