IGP afunguka kwa wanaochezea amani

IGP afunguka kwa wanaochezea amani

Mkuu wa jeshi la polisi, IGP Said Mwema amesisitiza kuwa jeshi la polisi halitaendelea kuwafumbia macho watu wanaovuruga amani ikiwa ni pamoja na kuchoma nyumba za kuabudia na kuuana kwa kisingizio cha kidini

Wana JF naomba kufahamishwa kitu hapa, hivi kuna Protocol Approach katika kutoa matamko kuhusu hali ya amani hapa nchini hususani masuala haya ya kidini? Nauliza hivi kwa sababu vurugu hizi zimekuwepo kwa kipindi na kama kawaida geared by "Mihadhara ya Kidini" ambayo bado ipo na tena kwa kiburi. Hivi karibuni kutaibuka Mhadhara wa Dini ya Kislamu pale Mbagala Zakhem, baada ya ule uwanja kufungwa kufuatia vurugu za "Mkojo" sasa inavyoonekana Serikali kwa kuwa "Inajua inachokifanya" Imeruhusu Mihadhara kuendelea pale Zakhem. Tusubiri nini kimedhamiriwa na Seriakali yetu. Kwa kuwa IGP anasema kuwa Serikali haitavumilia viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani, kama hajui viashiria hivyo ni MIHADHARA YA WAISLAMU KUWATUSI WAKRISTO NA DINI YAO. Tunaweza kusema kuwa Serikali iwe staright forward katika suala la kulinda AMANI wala lisiwe ni la kupendezesha jamii fulani hapa. Kumbuka Mh. IGP Dhamana ya AMANI ipo juu yako hadi IGP mwingine atakapokuja Chukua Hatua SASA.

 
Halitaendelea kuwafumbia macho? Kwa hiyo lilikuwa linawafumbia macho mwanzoni kwa kuwa walikuwa wanatekeleza mambo yao? Angoje FBI wamfundishe kazi.

walikuwa wanadubiria maelekezo ya chama
 
Ishh! Kumbe IGP yupo! Basi mimi nilikuwa najua nafasi hiyo iko wazi kutokana na sababu yoyote ile kama kustaafu, kujiuzulu, kujichokea, kususa, e.t.c.!
 
Mkuu wa jeshi la polisi, IGP Said Mwema amesisitiza kuwa jeshi la polisi halitaendelea kuwafumbia macho watu wanaovuruga amani ikiwa ni pamoja na kuchoma nyumba za kuabudia na kuuana kwa kisingizio cha kidini

Na sio hao tu bali na polisi wanaoua na kutesa raia
 
Mkuu wa jeshi la polisi, IGP Said Mwema amesisitiza kuwa jeshi la polisi halitaendelea kuwafumbia macho watu wanaovuruga amani ikiwa ni pamoja na kuchoma nyumba za kuabudia na kuuana kwa kisingizio cha kidini

alipouawa RPC manumba alihamia mwanza kuwasaka wauaji. kauawa padri hajahamia. wakati ustadhi ilunga nachafua hali ya hewa sio kwamba hawakuona. ila walikuwa wamefumba macho. CD ZA ILUNGA ZILIZAGAA KOTEKOTE. na kama kweli hawakuziona IGP HASTAHILI KUWEPO HAPO ALIPO SASA. MAANA HATUKO SALAMA. YEYOTE ANAEZA KUVAMIA NCHI NA YEYE HANA HABARI. ANAPASWA AJIUZURU. sijajua kwa nini selikali hii imechukua hatua kwa kusuasua kiasi hicho.
 
Mkuu wa jeshi la polisi, IGP Said Mwema amesisitiza kuwa jeshi la polisi halitaendelea kuwafumbia macho watu wanaovuruga amani ikiwa ni pamoja na kuchoma nyumba za kuabudia na kuuana kwa kisingizio cha kidini

Kumbe walikikuwa wakiwafumbia macho sasa wataweza kupambana nao?,mbona mkiwashika mnatangaza kuwa ni WAHUNI? hali mnajua ni u-amsho.....Ustaadh ILUNGA nae mli-mfumbia macho hivyo hivyo sasa mau aji yametekelezwa ndo mnajifanya HAMFUMBI MACHO TENA.kipindi kile mlikuwa mnaomba ndo mkafumba? hamtaomba tena?.
 
kumbe kuwa mchambuzi ni kubadilisha ukweli!!!! endeleeni na uchambuzi

Quid est veritas aka Ukweli ni kitu gani? Embu niambie ukweli unausema kwenye uzi huu? Ushabiki wenu huu utawarudi ndoo mtakaposhituka. Hivi ni wapi mtu anauwawa akiwa amezungukwa na polisi? Halafu polisi wote hata wale ambao alikuwa amewashika wanaachwa free?? Wewe unasema ukweli. Maongezi ya Mwangosi na IGP kabla ya tukio unayajua? Au ndiyo ukweli unaouongelea? Idadi ya watanzania waliouwawa mikononi mwa polisi ni kubwa chini ya uongozi wa IGP mwema kuliko MaIGP wote tangu uhuru, ukweli huo unaujua? Au unaongelea ukweli gani wewe? Viongozi wa dini wanauwawa chini ya IGP wako unayemfagilia hapa na unaona huo ni ukweli?
Hapa
 
si kwamba wanawafumbia macho, Polisi mara kwa mara wamekuwa wakitoa elimu kwa wananchi kuhusiana na utii wa sheria bila shuruti na polisi jamii, ulinzi shirikishi ili wananchi wakielewa vizuri umuhimu wake basi wataweza kusaidiana na polisi katika wakuwabaini na kuwafichuwa wahalifu.

Hicho unachokisema wewe ni polisi kuitii ccm bila shuruti.vurugu nyingi zinasababishwa na ccm kuiamrisha polisi kama vile huko mtwara na kuzui maandamano na mikutano bila sababu za msingi.na tumeshuudia maandamano mengi na mikutano ambayo polisi haizui haina madhara yoyote.
 
Quid est veritas aka Ukweli ni kitu gani? Embu niambie ukweli unausema kwenye uzi huu? Ushabiki wenu huu utawarudi ndoo mtakaposhituka. Hivi ni wapi mtu anauwawa akiwa amezungukwa na polisi? Halafu polisi wote hata wale ambao alikuwa amewashika wanaachwa free?? Wewe unasema ukweli. Maongezi ya Mwangosi na IGP kabla ya tukio unayajua? Au ndiyo ukweli unaouongelea? Idadi ya watanzania waliouwawa mikononi mwa polisi ni kubwa chini ya uongozi wa IGP mwema kuliko MaIGP wote tangu uhuru, ukweli huo unaujua? Au unaongelea ukweli gani wewe? Viongozi wa dini wanauwawa chini ya IGP wako unayemfagilia hapa na unaona huo ni ukweli?
Hapa
"DAMNANT QUOD NON INTELLEGUNT" =Unalaumu usicho kijua. yawezekana ndugu yangu wewe upo kwenye makundi ya kisiasa au wanaharakati ambao ulaumu kila kitu na kulazimisha wanachokiamini kila mtu aamini hivyo.Mengi yalikwisha andikwa na kuongelewa kuhusu hili tukio na sitaki kuyarudia ila naendelea kumuombea marehemu Mungu amlaze sehemu anayostahili

Ndugu yangu kazi ya hawa ndugu zetu ni ngumu na iko very delicate ,Hasa kutokana na kwamba hukutana na matukio magumu na ya ajabu pale ambapo watu wapo kwenye climax ya ualifu, pressure za kisiasa na kadhalika ndipo hawa mabwana huitwa kujaribu ku restore hali. saa nyingine hupata upinzani mkali katika majukumu yao na kusababisha makosa ya kiutendaji kama kufyatua risasi kwa bahati mbaya au katika hali ya provocation.

kila zama inachangamoto zake ndugu yangu ukisema kwamba wakati wa huyu IGP ndio matukio ya hivyo yamekuwa mengi lakini lazima ujue vilevile kizazi cha sasa hivi sio cha zamani. vijana wamebadilika hawaogopi hata vituo vya polisi wanavamia na kuuwa askari.wanachoma moto,na kuuwa watuhumiwa.HILI KAMA WEWE NI MKWELI UNALIONA.

Kusema kweli hata leo hii ukiweza kuonana na huyo mtuhumiwa na ukumueleza akueleze kilichotokea hawezi na wala hajui.kuna baadhi ya mambo unaweza kutenda na baadaye ukuja kuaambiwa kuwa uliyatenda wewe hata uamini maana yanakuja kama umeme bila hata ya kukupa mwanya wa kufanya sound judgement ya matokeo yake. "DOMINUS TECUM " Bwana awe nawe
 
Suala la kujua na kutokujua hapa JF ni gumu kidogo, kwani unaweza kudhani najua kumbe sijui na kinyume chake pia.
Maelezo yako mazuri na marefu yanaunga mkono hoja yangu kuwa kauli zake hazimaanishi chochote ni sheer wastage of time. IGP akiongea hakuna anayemsikiliza. Sisi tunataka atende na ajinasue na makucha ya CCM na muda wake wa kustaafu ukifika asikubali kuongeza muda kama alivyodokeza kwa watu wake wa karibu.

Pili binafsi sina matatizo na IGP kama individual ila mfumo. Namfahamu mwema toka yupo Mbeya kama RPC na Msomi mzuri na mtu wa protocal na juzi juzi nilimsikitikia sana kwani alimtumia alimofowardia Nchimbi sms toka kwa Dr. Slaa kama boss ili amshauri NChimbi kakurupuka na kuja kumwaga hadharani. Tunataka yeye awe serious na asimamie maadili ya polisi badala ya kupokea maagizo yasiyo ya haki toka kwa viongozi washabiki wa CCM. Mfano kuzuia maandamano bila hoja za msingi.
Suala la ugumu wa mazingira ya kazi ya polisi, walimu, manesi, wafanyakazi wa kima cha chini wote katika serikali yetu yanajulikana na kila mtu mkuu. Hivyo basi si busara kuchulia ugumu wa mazingira kama excuse. Mahusiano yao na wanasiasa pia ni tatizo lao wenyewe kwani wanajikomba kwa wanasiasa ili wapandishwe vyeo. Nakumbuka sana Mahita alipewa UIGP pamoja na elimu yake ndogo kuliko watu waliokuwa makao makuu kisa alimshughulikia Mrema kule Moshi.

Tanzania hii kumzuka mtendo wa watendaje kuboronga na kuwasingizia wanasiasa au wakubwa zao. Chini ya serikali ya JK, kiongozi ukiamua kufanya kazi utafanya na ukiamua kujikomba kwa wanasiasa badala ya kufanya kazi hilo ni chaguo lako.
 
Yeye kama IGP ana matatizo, lakini mwajiri wake ana matatizo makubwa zaidi maana msimamo wake haukueleweka kwa subordinates wake.
Huoni baada ya Mkulu kubweka dhidi ya wahuni wa kidini, IGP naye kaibuka?

Kwa hiyo una maana bodi wake alikuwa awali amemwagiza awafumbie macho?
 
hivi hawa wanaohusika na kufungia media hawatembelei humu JF ili waifungie bn ni kero tu!
 
Suala la kujua na kutokujua hapa JF ni gumu kidogo, kwani unaweza kudhani najua kumbe sijui na kinyume chake pia.
Maelezo yako mazuri na marefu yanaunga mkono hoja yangu kuwa kauli zake hazimaanishi chochote ni sheer wastage of time. IGP akiongea hakuna anayemsikiliza. Sisi tunataka atende na ajinasue na makucha ya CCM na muda wake wa kustaafu ukifika asikubali kuongeza muda kama alivyodokeza kwa watu wake wa karibu.

Pili binafsi sina matatizo na IGP kama individual ila mfumo. Namfahamu mwema toka yupo Mbeya kama RPC na Msomi mzuri na mtu wa protocal na juzi juzi nilimsikitikia sana kwani alimtumia alimofowardia Nchimbi sms toka kwa Dr. Slaa kama boss ili amshauri NChimbi kakurupuka na kuja kumwaga hadharani. Tunataka yeye awe serious na asimamie maadili ya polisi badala ya kupokea maagizo yasiyo ya haki toka kwa viongozi washabiki wa CCM. Mfano kuzuia maandamano bila hoja za msingi.
Suala la ugumu wa mazingira ya kazi ya polisi, walimu, manesi, wafanyakazi wa kima cha chini wote katika serikali yetu yanajulikana na kila mtu mkuu. Hivyo basi si busara kuchulia ugumu wa mazingira kama excuse. Mahusiano yao na wanasiasa pia ni tatizo lao wenyewe kwani wanajikomba kwa wanasiasa ili wapandishwe vyeo. Nakumbuka sana Mahita alipewa UIGP pamoja na elimu yake ndogo kuliko watu waliokuwa makao makuu kisa alimshughulikia Mrema kule Moshi.

Tanzania hii kumzuka mtendo wa watendaje kuboronga na kuwasingizia wanasiasa au wakubwa zao. Chini ya serikali ya JK, kiongozi ukiamua kufanya kazi utafanya na ukiamua kujikomba kwa wanasiasa badala ya kufanya kazi hilo ni chaguo lako.
Mkuu you are too political than real. Kumbuka kuwa hata leo ukipewa nafasi kubwa wapambe wako watakushangilia siku hiyo tuu kuanzia kesho yake wanaaza kukugeuka. ukumbuke kuwa accessibility ya media TZ Kwa leo hufanya mtu kuandika chochote anachokifikiria,kiwe cha kweli,cha uongo au ukweli uliopindishwa.

Maandamano mengi TZ kutokana na level ndogo ya ustaarabu kwa baadhi ya watu huitishwa kwa nia mzuri lkn ndani yake hujichanganya wengine wenye nia mbaya.vibaka hupata mwanya wa kupora kwa kijichanganya, Sio jambo la siri kwamba maandamano hayo yakitokea watu wenye busara hufunga biashara zao kuogopa kuibiwa

Mkuu sio rahisi kumpata malaika kuwa kiongozi ambaye hawezi kushambuliwa na watu.Tanzania tumebadilika na kuwa Taifa la walalamikati kila mtu analalamika. halafu suala la ugumu wa maisha hata nchi zilizoendwelea lipo ila tunatofautiana kutokana na mazingira
 
Wana JF naomba kufahamishwa kitu hapa, hivi kuna Protocol Approach katika kutoa matamko kuhusu hali ya amani hapa nchini hususani masuala haya ya kidini? Nauliza hivi kwa sababu vurugu hizi zimekuwepo kwa kipindi na kama kawaida geared by "Mihadhara ya Kidini" ambayo bado ipo na tena kwa kiburi. Hivi karibuni kutaibuka Mhadhara wa Dini ya Kislamu pale Mbagala Zakhem, baada ya ule uwanja kufungwa kufuatia vurugu za "Mkojo" sasa inavyoonekana Serikali kwa kuwa "Inajua inachokifanya" Imeruhusu Mihadhara kuendelea pale Zakhem. Tusubiri nini kimedhamiriwa na Seriakali yetu. Kwa kuwa IGP anasema kuwa Serikali haitavumilia viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani, kama hajui viashiria hivyo ni MIHADHARA YA WAISLAMU KUWATUSI WAKRISTO NA DINI YAO. Tunaweza kusema kuwa Serikali iwe staright forward katika suala la kulinda AMANI wala lisiwe ni la kupendezesha jamii fulani hapa. Kumbuka Mh. IGP Dhamana ya AMANI ipo juu yako hadi IGP mwingine atakapokuja Chukua Hatua SASA.


wewe ni mdini sana, unatakiwa ujiangalie mno. Na wale wakristo waliokojolea korani kule mbagala walitumwa? Tuache chuki za kidini sote tuna haki na tanzania.
 
Back
Top Bottom