GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Tunaposema mke wa mtu ni sumu tunaomba muwe mnatuelewa.
Kijana Mwaipopo amefungua mwaka vibaya kwa kukoswakoswa kufumuliwa tigo na njemba tano zilizoandaliwa kwa kazi hiyo mahususi baada ya bwana mdogo huyo kufumaniwa na mke wa mtu ndani ya Imalampaka lodge.
Kijana Mwaipopo mwenye miaka 27 alipoona amevamiwa na mume wa mwanamke aliyekuwa naye ndani alijua kabisa lazima tigo yake itachezeshwa kwata ya kufungulia mwaka. Kwana mume huyo alikuwa ameambatana na mijitu mitano yenye miraba minne kwa kazi moja tu ya kupiga minyama nje na minyama ndani kwenye tigo Mwaipopo.
Baada ya Mwaipopo kuona kuna dalili zote za kuliwa tigo aliamua kuvaa haraka haraka kabla hawajavunja mrango,na.baada ya kuvaa tu akaamua kujisaidia haja kubwa ndani ya boksa yake ili tu atengeneze mazingira ya kuto kuliwa tigo na jamaa hao waliomfmania.
Kitengo cha Mwaipopo kujisaidia haja kubwa kiliokoa tigo yake isiguswe kwa 100% kwani jamaa waliomfumania waliona kinyaa sana na wakaamua kubadilisha adhabu, badala ya kuliwa tigo wakaanza kumpiga tu.
Akihojiwa na mjumbe wa Serikali, Mwaipopo amesema ameamua kujisaidia haja kubwa ndani ya nguo na kukalia kinyesi ili tu asiliwe tigo kwani Alisha hisi dalili zote za kutokea kitendo hicho siku hiyo. Na ameongeza kwamba akili hiyo ilimuijia fasta na kiwango kikubwa sana imemsaidia.
Mwaipopo aliamuliwa kulipa fine ya milioni 7 na akaahidi ataripa kidogo kidogo.
Kweli dunia inamambo sana na chelewa kufa uone mengi.
Kazi kwenu mnaoiba wake za watu na nyinyi ipo siku yenu tu.
Kijana Mwaipopo amefungua mwaka vibaya kwa kukoswakoswa kufumuliwa tigo na njemba tano zilizoandaliwa kwa kazi hiyo mahususi baada ya bwana mdogo huyo kufumaniwa na mke wa mtu ndani ya Imalampaka lodge.
Kijana Mwaipopo mwenye miaka 27 alipoona amevamiwa na mume wa mwanamke aliyekuwa naye ndani alijua kabisa lazima tigo yake itachezeshwa kwata ya kufungulia mwaka. Kwana mume huyo alikuwa ameambatana na mijitu mitano yenye miraba minne kwa kazi moja tu ya kupiga minyama nje na minyama ndani kwenye tigo Mwaipopo.
Baada ya Mwaipopo kuona kuna dalili zote za kuliwa tigo aliamua kuvaa haraka haraka kabla hawajavunja mrango,na.baada ya kuvaa tu akaamua kujisaidia haja kubwa ndani ya boksa yake ili tu atengeneze mazingira ya kuto kuliwa tigo na jamaa hao waliomfmania.
Kitengo cha Mwaipopo kujisaidia haja kubwa kiliokoa tigo yake isiguswe kwa 100% kwani jamaa waliomfumania waliona kinyaa sana na wakaamua kubadilisha adhabu, badala ya kuliwa tigo wakaanza kumpiga tu.
Akihojiwa na mjumbe wa Serikali, Mwaipopo amesema ameamua kujisaidia haja kubwa ndani ya nguo na kukalia kinyesi ili tu asiliwe tigo kwani Alisha hisi dalili zote za kutokea kitendo hicho siku hiyo. Na ameongeza kwamba akili hiyo ilimuijia fasta na kiwango kikubwa sana imemsaidia.
Mwaipopo aliamuliwa kulipa fine ya milioni 7 na akaahidi ataripa kidogo kidogo.
Kweli dunia inamambo sana na chelewa kufa uone mengi.
Kazi kwenu mnaoiba wake za watu na nyinyi ipo siku yenu tu.