Aksante mkuu kwa ufafanuzi. Endelea kutuhabarisha yatakayoendelea kujiri.Wamedai wanafunzi walipe kwanza ada mpya ndipo watoe matokeo yao na wao wamekataa kwa kugoma
ada yao ni shilingi ngapi na je hawaipati kutika bodi ya mikopo?Wamedai wanafunzi walipe kwanza ada mpya ndipo watoe matokeo yao na wao wamekataa kwa kugoma