xpin de rexas
Member
- Feb 3, 2013
- 26
- 2
Mm nmechaguliwa IFM bsc in computer science n nahitaji rafiki ambaye tutaweza kupanga wote one room at upanga, kigamboni, posta or kurasini
Vijana mkishajipanga basi mniambie niwatafutie rum..kama ifm ckushauri ukae sehem yoyote ile isipokuwa kigambon kwanza cost yake ndogoo tofaut na sehem nyingine pia ukichelew rum zinapanda bei na pia uwezekano na kukusa chumba mkubwa
Okay lets talk, umechaguliwa kozi gan
npo apa mkuu...Bsc IT..IFM
Mm nmechaguliwa IFM bsc in computer science n nahitaji rafiki ambaye tutaweza kupanga wote one room at upanga, kigamboni, posta or kurasini
Na mm pia computer science hapo hapo ifm sema siitaji kusoma nafanya yangu shule sio issue hapa duniani
Na mm pia computer science hapo hapo ifm sema siitaji kusoma nafanya yangu shule sio issue hapa duniani
Kijana acha mbwembwe....kusoma kwenyew hujasoma umekuja kutamba hum watu wakuone umesoma kumbe chenga tupu na maneno mengi....
Hahahahahah kijana ana mbwembwe na yeye pi kachaguliwa ifm ila anaona elimu haina issue hapa duniani....huyu anaonekana hata form 4 haijui form six sio kwa kichwa hiki
Ifm ilishafuta watu wajinga kama hawa..kwasasa hamna matozi njaa pale msuli kama umetumwa na kijiji ukizingua basi utamsikia mjema ukiwa nyumbani
Pana kazi nackia hatari, mm nlipataga certificate on IT bt nkabadili maamuz nkaona bora nipige six kwnza then nirud n namshukuru Mungu nimechaguliwa sasa kusoma degree mwaka huu so nshapiga gape wale wote ambao ngeingia nao diploma 2 this year.
Hahaaaa kijana wangu mwaka wakwanza tuu naingia pale ifm nikakutana na jamaa anaitwa igakinga anafundisha law...aisee nlikiona chuo kichungu ndani ya wiki mbili alitaka kunifukuza chuo kwa kosa ambalo halielewek...bt thanks nasubir joh mwezi 11