Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,608
- 46,246
Tuuwachie Chadema chama chao tudili na mambo ya kitaifa, huwezi kuwaona Chadema wanahangaika na ruzuku ya ccm,
Ni mwendawazimu tu atakayeacha kushughulika na kujua 2.4T ambazo ni kodi yake zilitumikaje halafu ajishugulishe na bili 7 za Chadema (Huoni Chadema isipotumia vizuri ruzuku yake itakuwa dhaifu na ni faida kwenu?)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwendawazimu tu atakayeacha kushughulika na kujua 2.4T ambazo ni kodi yake zilitumikaje halafu ajishugulishe na bili 7 za Chadema (Huoni Chadema isipotumia vizuri ruzuku yake itakuwa dhaifu na ni faida kwenu?)
CAG aliibua ufisadi wa billion 7 ndani ya chadema ambazo Mbowe alinunua helkopita hewa .
Bavichaaa wote mko kimya kuhusu wizi huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app