IFFHS: Simba SC ya 11 kwa ubora Africa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,242
103,943
Shirikisho la Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu IFFHS limetoa Orodha ya klabu 20 za Africa (CAF) ambazo Zina alama nyingi (Points) Kwa kipindi Cha Miezi 12.

Points hizo zimezingatia ubora wa Michuano ya Kimataifa na Ligi ya ndani kwa kila klabu huku ubora wa Ligi ya ndani ukipewa uzito zaidi.

Source: IFFHS

====

The highest ranked clubs in Africa as of 1 October 2022:

1. Al Ahly (Egypt) - 21 (+1)

2. Wydad Casablanca (Morocco) - 48 (+1)

3. Zamalek (Egypt) - 75 (+15)

4. Petro de Luanda (Angola) - 77 (+8)

5. Mamelodi Sundowns - 87 (+1)

6. CR Belouizdad (Algeria) - 90 (+8)

7. Pyramids (Egypt) - 98 (+1)

8. RSB Berkane (Morocco) - 99 (+14)

9. Raja Casablanca (Morocco) - 114 (-12)

10. Es Setif (Algeria) - 127 (-9)

11. Simba (Tanzania) - 131 (+23)

12. JS Saoura (Algeria) - 139 (+9)

13. Orlando Pirates (South Africa) - 143 (-10)

14. Esperance (Tunisia) - 169 (-2)
 
Screen shot uweke hapa . Utopolo hawatakuamini
Screenshot_20221013-120205.png
 
haya tuanze hesabu za ubora.
ENGLAND 20
SPAIN 20
ITALY 20
GERMAN 18
FRANCE 20
NETHERLANDS 18
BELGIUM 18
BRAZIL 20
ARGENTINA 20

Tuachane na zile daraja la kwanza hizo nchi kuna klabu yoyote itazidiwa ubora na SIMBA???

MBUMBUMBU FC
 
Shirikisho la Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu IFFHS limetoa Orodha ya klabu 20 za Africa (CAF) ambazo Zina alama nyingi (Points) Kwa kipindi Cha Miezi 12.

Points hizo zimezingatia ubora wa Michuano ya Kimataifa na Ligi ya ndani kwa kila klabu huku ubora wa Ligi ya ndani ukipewa uzito zaidi.

Source: IFFHS

====

The highest ranked clubs in Africa as of 1 October 2022:

1. Al Ahly (Egypt) - 21 (+1)

2. Wydad Casablanca (Morocco) - 48 (+1)

3. Zamalek (Egypt) - 75 (+15)

4. Petro de Luanda (Angola) - 77 (+8)

5. Mamelodi Sundowns - 87 (+1)

6. CR Belouizdad (Algeria) - 90 (+8)

7. Pyramids (Egypt) - 98 (+1)

8. RSB Berkane (Morocco) - 99 (+14)

9. Raja Casablanca (Morocco) - 114 (-12)

10. Es Setif (Algeria) - 127 (-9)

11. Simba (Tanzania) - 131 (+23)

12. JS Saoura (Algeria) - 139 (+9)

13. Orlando Pirates (South Africa) - 143 (-10)

14. Esperance (Tunisia) - 169 (-2)
Sijawahi ziamini Taasisi za kiafrika katika takwimu,figisu nyiiingi,
Na dada yenu alivyojipenyeza hadi huko juu tutasikia mengi,
Kwa ubora gani alionao simba? Timu haina hata namba 9 ?.
Simba mnajua kuwa tumewazidi kwa kila kitu kuanzia kikosi hadi quality..
Ina maana kama nyie mmewekwa wa 11 ki mawazoni mwenu mjue kabisa hapo sisi ni wa 7...kwa sababu sisi tumewazidi kwa kila kitu na hilo mnalijua vizuri...

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi ziamini Taasisi za kiafrika katika takwimu,figisu nyiiingi,
Na dada yenu alivyojipenyeza hadi huko juu tutasikia mengi,
Kwa ubora gani alionao simba? Timu haina hata namba 9 ?.
Simba mnajua kuwa tumewazidi kwa kila kitu kuanzia kikosi hadi quality..
Ina maana kama nyie mmewekwa wa 11 ki mawazoni mwenu mjue kabisa hapo sisi ni wa 7...kwa sababu sisi tumewazidi kwa kila kitu na hilo mnalijua vizuri...

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hahahhaha hahaahah dooooooo muda mwingine ni bora kunyamaza uwaachie wenye timu yao tutambe. Kwani mnateseka mkiwa wapii
 
Sijawahi ziamini Taasisi za kiafrika katika takwimu,figisu nyiiingi,
Na dada yenu alivyojipenyeza hadi huko juu tutasikia mengi,
Kwa ubora gani alionao simba? Timu haina hata namba 9 ?.
Simba mnajua kuwa tumewazidi kwa kila kitu kuanzia kikosi hadi quality..
Ina maana kama nyie mmewekwa wa 11 ki mawazoni mwenu mjue kabisa hapo sisi ni wa 7...kwa sababu sisi tumewazidi kwa kila kitu na hilo mnalijua vizuri...

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Point 0.5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom