Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 571
- 609
Nani kakuambia usifanye kazi kwa bidii?Hayo mambo ya sala ni uongo mtupu tuachane nayo hayatakusaidia zaidi ya kudumaza na kufifisha fikra zetu.
Tujitume, tufanye kazi kwa bidii na weledi, tuwe na nidhamu na tukomae mpaka kieleweke. Wachina hawana hayo mambo ya salamu Maria ila angalia uchumi wao upo wapi Leo.
Tuamkeni wote.
Ni sala Kwa wakatolikiHiyo ni salamu ya kumsalimia Mariam, hivyo, kwa mudhumuni ya salamu uko sawa. Kuhusu sala, hiyo siyo sala. Hata maandiko uliyoyanukuu ni maneno yaliyotumika kumsalimia Mariam na kumpa habari ya mambo yatakayo mtokea. Karibu kwa hoja zisizo na fujo.
Usitutafutie ban ewe mwabudu sanamu.SALA bora kabisa duniani ndiyo hiyo:
Salamu, Maria, umejaa neema; Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu. Amina.
Karibuni tujifunze pamoja
NB: Soma pia kwenye Biblia takatifu kitabu cha Luka 1:28 na kuendelea
28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
Luka 1:28
29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
Luka 1:29
30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Luka 1:30
42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Luka 1:42
48 Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
Luka 1:48
Mimi tayari nishapimwa akili na nimenukuu maandiko nadhani wewe ndiyo unatakiwa kupimwa akili kwa kutojua kuwa hayo yaloandikwa yametoka kwenye BibliaUsitutafutie ban ewe mwabudu sanamu.
Yesu alishaagiza ni sala ipi tuitumie, na siyo huyo bikira ambaye hata baada ya kuzaa watoto sita mnaendelea kung'ang'ania kuwa ni bikra.
Kapimwe akili
Luka 1:41 - 45 juu kuwa Mama wa Mungu(mama wa Beana wangu). Soma luka 1:43...hayo maneno aliyatamka Elizabeth akiwa amejazwa na Roho Mtakatifu.. Soma kuanzia Luka 1:39-40.mwanzo wa andiko lako umemtaja maria mama wa mungu alafu comment yako #12 point ya 30 ukasema maria kapokea neema kwa mungu.! nikaona upumbavu tu maana hata ww hujui umeandika nini ujinga mtupu tu.!
mkuu tunaomba neno la yesu mwenyewe kwenye biblia akijitaja kwa kinywa chake "mimi yesu ni mungu"Mimi tayari nishapimwa akili na nimenukuu maandiko nadhani wewe ndiyo unatakiwa kupimwa akili kwa kutojua kuwa hayo yaloandikwa yametoka kwenye Biblia
Luka 11:2 Akawaambia, Msalipo, semeni, Baba [yetu uliye mbinguni], Jina lako litakaswe, Ufalme wako uje, [Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.].......Mimi tayari nishapimwa akili na nimenukuu maandiko nadhani wewe ndiyo unatakiwa kupimwa akili kwa kutojua kuwa hayo yaloandikwa yametoka kwenye Biblia
Ungeongezea na baba yetu.....hizo 2 ni silaha kubwa hasa kwa mkatolikiSALA bora kabisa duniani ndiyo hiyo:
Salamu, Maria, umejaa neema; Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu. Amina.
Karibuni tujifunze pamoja
NB: Soma pia kwenye Biblia takatifu kitabu cha Luka 1:28 na kuendelea
28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
Luka 1:28
29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
Luka 1:29
30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Luka 1:30
42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Luka 1:42
48 Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
Luka 1:48
Hii ndiosala bora kuliko zote na ndio maana alisema kuwa mkitaka kusali semeni hivyoBaba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni. Utupe leo riziki yetu. Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina]
amina amina, hii ndio sala bora sasa dunianiBaba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni. Utupe leo riziki yetu. Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina]
michapio tuu alitaka kusema sala. japo hayuko sahihi sala ya kwanza ni Baba yetu.Sara au sala?
sala namba moja ni baba yetuSALA bora kabisa duniani ndiyo hiyo:
Salamu, Maria, umejaa neema; Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu. Amina.
Karibuni tujifunze pamoja
NB: Soma pia kwenye Biblia takatifu kitabu cha Luka 1:28 na kuendelea
28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
Luka 1:28
29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
Luka 1:29
30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Luka 1:30
42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Luka 1:42
48 Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
Luka 1:48
mkuu mbona ameonesha vifungu vya bible ilikotolewaHii ipo sehemu gani kwenye biblia?
unawasingizia tu mkuu. roman sio vichaa wala sio sala ya kipagani. wameitoa kwenye biblia hiyohiyo unayoitumiaVichaa wa roman catholic na sala zao za kipagani nao wako humu sa hiyo sala inaweza fukuza majini au mapepo au wachawi..
Luka 1:28 kuendeleaHii ipo sehemu gani kwenye biblia?