Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Mpogoro katoka kwao mahenge huko, kuja dar...

Kurudi ndio anawasimulia wenzie kuwa yeye ni mjanja saanna,

"kondakta kusema, ubungu, ubungu nikabanishi, njwii, mpaka manzese kumkomoa dereva" 😂 🤣

Yaani akimaaisha konda gari ilipofika ubungo akatangaza kituo, yeye hakushuka akabana kwenye gari, kaenda kushukia manzese kwa kumkomoa dereva. 😂
Wapogoro huwa wana tabia fulani za kijinga au kipuuzi. Tulikuwa tukihitaji vitu fulani kwao sasa badae walipojua na mwenyeji wetu ni mpogoro wakaanza figisu, yani hawapendani wao kwa wao ndio mana mgeni rahisi kufanikiwa kule kwao.
 
Katiba mpya itahakikisha wakoloni hawatupi masharti kwenye ardhi yetu wenyewe KWA kisingizio cha kulinda Mali zao walizoziacha NCHINI!!

Maendeleo yatafika kote bila kujali kuna Mali za wajerumani au waingereza!!


"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!
 
Hahaaaaaaa
Mpogoro katoka kwao mahenge huko, kuja dar...

Kurudi ndio anawasimulia wenzie kuwa yeye ni mjanja saanna,

"kondakta kusema, ubungu, ubungu nikabanishi, njwii, mpaka manzese kumkomoa dereva"

Yaani akimaaisha konda gari ilipofika ubungo akatangaza kituo, yeye hakushuka akabana kwenye gari, kaenda kushukia manzese kwa kumkomoa dereva.
 
Back
Top Bottom