Rcrusso Jr
Senior Member
- Jul 26, 2020
- 174
- 403
- Thread starter
- #21
Wapogoro huwa wana tabia fulani za kijinga au kipuuzi. Tulikuwa tukihitaji vitu fulani kwao sasa badae walipojua na mwenyeji wetu ni mpogoro wakaanza figisu, yani hawapendani wao kwa wao ndio mana mgeni rahisi kufanikiwa kule kwao.Mpogoro katoka kwao mahenge huko, kuja dar...
Kurudi ndio anawasimulia wenzie kuwa yeye ni mjanja saanna,
"kondakta kusema, ubungu, ubungu nikabanishi, njwii, mpaka manzese kumkomoa dereva" 😂 🤣
Yaani akimaaisha konda gari ilipofika ubungo akatangaza kituo, yeye hakushuka akabana kwenye gari, kaenda kushukia manzese kwa kumkomoa dereva. 😂