itel Mobile Tanzania
Member
- Mar 5, 2020
- 18
- 28
itel Mobile ilianzishwa mwaka 2007 jijini Hong Kong nchini China kwa kutambua kiu ya wateja ya kuunganishwa kimawasiliano Duniani. Kwa kutumia Falsafa yetu ya "Join · Enjoy", tunafurahi kumpa hamasa na nafasi sawa kila mtu kwa kutoa bidhaa bora kabisa na zinazokidhi haja ya mawasiliano duniani kote.
Kutoka mwaka 2007 mpaka 2019, wateja wetu wamekuwa wakiongezeka kwa kasi ulimwenguni kote kwa mauzo na ongezeko la ofisi katika nchi mbalimbali duniania kote huku tukiwa kwenye zaidi ya nchi 50 ikiwemo Tanzania. Wateja zaidi na zaidi wanaendelea kutufahamu, kuunganishwa kimawasiliano kwa bidhaa zetu za simu na kuunga mkono kampuni yetu katika kuleta teknolojia zaidi.
Kwa ushirikiano na upendo wa wateja wetu, itel Mobile ilifikia kiwango cha juu cha mauzo ya simu milioni 80 mwaka 2007 na kushika nafasi ya 16 ya Kampuni zinazopendwa zaidi Barani Afrika katika mwaka huo, hii ni kulingana na taarifa za Jarida mashuhuri la “African Business”.
Unataka kufahamu zaidi kuhusu itel Mobile? Endelea kuwa nasi hapa Jamii Forums, pia ungana nasi katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii Facebook, Instagram, Twitter na LinkedIn, tafuta tu 'itel Mobile Tanzania. Asante!
Kutoka mwaka 2007 mpaka 2019, wateja wetu wamekuwa wakiongezeka kwa kasi ulimwenguni kote kwa mauzo na ongezeko la ofisi katika nchi mbalimbali duniania kote huku tukiwa kwenye zaidi ya nchi 50 ikiwemo Tanzania. Wateja zaidi na zaidi wanaendelea kutufahamu, kuunganishwa kimawasiliano kwa bidhaa zetu za simu na kuunga mkono kampuni yetu katika kuleta teknolojia zaidi.
Kwa ushirikiano na upendo wa wateja wetu, itel Mobile ilifikia kiwango cha juu cha mauzo ya simu milioni 80 mwaka 2007 na kushika nafasi ya 16 ya Kampuni zinazopendwa zaidi Barani Afrika katika mwaka huo, hii ni kulingana na taarifa za Jarida mashuhuri la “African Business”.
Unataka kufahamu zaidi kuhusu itel Mobile? Endelea kuwa nasi hapa Jamii Forums, pia ungana nasi katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii Facebook, Instagram, Twitter na LinkedIn, tafuta tu 'itel Mobile Tanzania. Asante!