if u were to choose a HUSBAND......

if u were to choose a HUSBAND......

Mwenye kuleta thread anajifurahisha tu kwani anajua jibu ni moja tu. Bila mungu hakuna kinachoweza kuendelea katika huo uhusiano. Pia uundaji wa mada una kasoro kwa kuwa mtu wa mungu cannever be totally broke ni kitu ambacho hakipo labda kwenye story za mtaani na vijiweni.

hakika upo sahihi kabisa maana Mungu anasema fedha na dhahabu vyote ni mali yake kwa maana hiyo yeyote aliye mtoto wa Mungu mafanikio ni haki yake ni kumtumikia tu kwa uaminifu na kufanya yale yakupasayo kutenda....
 
i prefer 6. Jesus is a blesing hata kama yupo broke coz am sure He ll give me hope to cling on which is a last thng a being can loose! F u loose hope u r done!
 
I will go for five....kama ni mwaminifu, lazima atakuwa mcha Mungu tu. Uaminifu ndo mpango mzima.
 
Dah!!! Mimi nipo hapo namba nne. ndiyo maana kila ninayempata nikimweleza tukamilishe mipango ya ndoa anakwepa.Nimeshtuka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom