Idris Sultani ndiye mshiriki wa BBA kutoka Tanzania

Na huyu ndo haider kavira, alikuwaga bwan wa penny, mama ubaya ndo akaja kumchukua, maana na yeye huyu jamaa ana mpunga wa maana na ni rafiki sana wa rummy, so demu atakayepiga rummy jamaa lazima amtonye mshkaji na yeye anapiga, yani wanawachafua sana mastaa wabongo, na hawapindui kwa kuwa jamaa pesa wanazo, huyy nae kashapiga sana julie, nasikia kamgonga hadi martin kadinda kule boko kwa gheto la mshkaji wa huyu jamaa

Kudadaaaaa
 
Julie ana drve gar flan ivi ndog ndog kali sana sijui inaitwaje sijawah kuziona sana apa town, hawa malaya mar nyingi wanapewa tu waendeshe, keshi utamuona na rav 4, mara brevis ilimrad fujo tu ila sidhan kama yanakuwa yakwao kweli

Binamu petit kafunga ndoa
 
Binamu petit kafunga ndoa

Ndo nimeona picha? Nimeshtukaje? Yani hawa watatupa presha wenzao surprise gani hiyo? Ila mwenzangu wamefanya haraka sana hiyo ndoa hata haidumu tupo apa wachawi, utaniambia
 
Ndo nimeona picha? Nimeshtukaje? Yani hawa watatupa presha wenzao surprise gani hiyo? Ila mwenzangu wamefanya haraka sana hiyo ndoa hata haidumu tupo apa wachawi, utaniambia

Mmmhhj bina ikidumu tuhamie mwana.halisi forum
 
Nipo apa binamu, hamna kitu pale wanatak umaarufu tu wa kujinga,

Hicho kibibi kilikua na hamu ya kuolewa pia kilikosa wa kukioa kimeona kitoe nuksi mjini na amshukuru Ndomo la sivyo angeshiriki bibi bomba
Hivi hua huyu bibi wamechangia mama na ndomo eti
 
mh... nmeshtuka kidogo.. jamaa nmemfahamu mda.. n photographer na pia n mtu wa kutembea sana nchi za wenzetuu
 
Hicho kibibi kilikua na hamu ya kuolewa pia kilikosa wa kukioa kimeona kitoe nuksi mjini na amshukuru Ndomo la sivyo angeshiriki bibi bomba
Hivi hua huyu bibi wamechangia mama na ndomo eti

Hehehehh haluuuu (kwa sound melody ya kiBambo)
 
Back
Top Bottom