Idea ya Kuanzisha Credit Card

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
Credit card ni idea ilio anzishwa na watu ili kutatua changamoto za kusubilia hadi siku ya mshahara ndo watu wafanye shoping.

Ukiangalia Tanzania malipo mengi ni mwisho wa mwezi na kweli ukifanya tathimini zile wiki ya mwisho wa mwezi na wiki 1 ya mwanzo wa mwezi huwa Purchasing kidogo ina shift sana make watu wanakuwa wamelipwa pesa.

Hizi wiki zingine hapa katika kati manunuzi ni ua kusua sua kwa sababu watu hawana pesa.

Wazungu wao baada ya kuona hili ndo wakaja na credit card ili basi hata kama mtu hajalipwa mshahara aweze kufanya manunuzi.

Walikuja na hii baada ya kuona changamoto ya mauzo kwamba walikuwa wanauza zile siku 2 au 3 za watu kuwà wamelipwa pesa, hapo katikati ya wiki kulikuwa hakuna manunuzi ya maana.

Ila baada ya credit card manunuzi yalikuwa yanafanyika wiki nzima, hayakusubilia zile siku za mwisho wa wiki za kulipwa.

Bongo tuna changamoto hii ndo maana Bidhaa ku expire, kukaa hadi kuisha fashion yake ni kitu cha kawaida sana kwa sababu tunangojea sana mwisho wa mwezi watu wafanye manunuzi na hapo hapo huo mwisho wa mwezi bado unakuta mtu ana majukumu kibao kama ada na kadhalika.

Ni wakati sasa wa kuja na mbinu za kutatua hii changamoto ya kungojea mwisho wa mwezi.
 
Credit card ni idea ilio anzishwa na watu ili kutatua changamoto za kusubilia hadi siku ya mshahara ndo watu wafanye shoping.

Ukiangalia Tanzania malipo mengi ni mwisho wa mwezi na kweli ukifanya tathimini zile wiki ya mwisho wa mwezi na wiki 1 ya mwanzo wa mwezi huwa Purchasing kidogo ina shift sana make watu wanakuwa wamelipwa pesa.

Hizi wiki zingine hapa katika kati manunuzi ni ua kusua sua kwa sababu watu hawana pesa.

Wazungu wao baada ya kuona hili ndo wakaja na credit card ili basi hata kama mtu hajalipwa mshahara aweze kufanya manunuzi.

Walikuja na hii baada ya kuona changamoto ya mauzo kwamba walikuwa wanauza zile siku 2 au 3 za watu kuwà wamelipwa pesa, hapo katikati ya wiki kulikuwa hakuna manunuzi ya maana.

Ila baada ya credit card manunuzi yalikuwa yanafanyika wiki nzima, hayakusubilia zile siku za mwisho wa wiki za kulipwa.

Bongo tuna changamoto hii ndo maana Bidhaa ku expire, kukaa hadi kuisha fashion yake ni kitu cha kawaida sana kwa sababu tunangojea sana mwisho wa mwezi watu wafanye manunuzi na hapo hapo huo mwisho wa mwezi bado unakuta mtu ana majukumu kibao kama ada na kadhalika.

Ni wakati sasa wa kuja na mbinu za kutatua hii changamoto ya kungojea mwisho wa mwezi.
Nakubaliana na wewe and naona baadhi ya banks hapa kwetu washaanza toa NMB na Absa
 
Hizi huduma zipo jamani ila zimekuja na mbwembwe zake mfano Salary advance, Nipige tafu, Songesha.

Zinakuwezesha kupata huduma wakati huna kitu.

Credit card zipo sana Tz na wewe na kuaminika kwako na benk yako.
 
Back
Top Bottom