hkn ajabu ntu kuogelea si ajabu imetungwa tuNimeandika tazama dakika ya 2:40 ... akiogelea
nimekuelimisha! au hata una fanya jambo unasahau?? ''alikuwa burudani manake nini??Huku ulikofika siko nilikolenga usinihukumu kwa ambayo sikulenga kuyasema
Burudani ni yako ukiwa kwenye blanketi lako tu!...ukishaingia humuuuu ni yaJF!! yoote! mbona huelewi jambo dogo ivi??Burudani ni yangu na walioelewa