Wasamaria wengi sana wanatoa taarifa nyingi sana zenye maslahi ya kitaifa kwa hili jeshi letu lakini wanazipuuzia.
Wahamiaji kutoka Kenya na Nigeria wanafanya mambo ya ajabu sana. Tunawapa hawa ndugu zetu taarifa lakini hatua hazichukuliwi. Baadhi ya wakenya, kwa jehuri wanajigamba kwamba in this country, they can do anything and nobody can dare touch them
Kwa mfano hapa Kijitonyama wapo wakenya ambao tunashuku ni majasusi maana kukutana kwao ni usiku, tuneripoti sana wachunguzwe lakini hakuna anayejali.
Wanaijeria pale Sinza mchana kweupe wanauza madawa, wanaripotiwa lakini hakuna hatua. Haya bwana , Ingekuwa Chadema wanegkamatwa. Nasema wanaymza madawa sababu mchana wanalala, usiku wanazunguka na ma Range Rover.
Wahamiaji kutoka Kenya na Nigeria wanafanya mambo ya ajabu sana. Tunawapa hawa ndugu zetu taarifa lakini hatua hazichukuliwi. Baadhi ya wakenya, kwa jehuri wanajigamba kwamba in this country, they can do anything and nobody can dare touch them
Kwa mfano hapa Kijitonyama wapo wakenya ambao tunashuku ni majasusi maana kukutana kwao ni usiku, tuneripoti sana wachunguzwe lakini hakuna anayejali.
Wanaijeria pale Sinza mchana kweupe wanauza madawa, wanaripotiwa lakini hakuna hatua. Haya bwana , Ingekuwa Chadema wanegkamatwa. Nasema wanaymza madawa sababu mchana wanalala, usiku wanazunguka na ma Range Rover.