Idara ya uhamiaji ni miongoni mwa 77% walioishia darasa la 7?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,607
93,385
Wadau hebu nisaidieni kuna kitu kinanitatiza kidogo,

Kuna dogo anahitaji passport akanifata ili nimsaidie, kwakuwa ni kijana wangu niliyemshiba basi nimekubali kuwa mdhamini wake pia nimempa pesa ya kulipia passport na nipeprint out copy ya passport yangu ili aattach pamoja na fomu zake ili kukazia udhamini wangu kwake.

Sasa kilichonifanya niandike hii thread ni kwamba wamemrudisha eti apeleke Invitation letter! Sikuami ilibidi nimuulize mara mbilimbili kwamba ni kweli immigration officer hajalog application form kwa sababu ya Invitation letter?

Wana JF naomba mnisaidie hivi dunia hii ninayoishi mimi ndio wanayoishi hawa immigration au tuko sayari tofauti?

Inawezekana hawa watu hawana uelewa wowote hata wa Viza card ni nini na vacation ni nini, bado wanaishi ulimwengu wa kubeba mikaratasi wakati kila kitu sasa ni online.

Ok wanataka mikaratasi iliyoandikwa Invitation letter hivi hapa mimi na Kiranga au Nyani Ngabu si tunaweza kutumiana hizo invitation letter kama wao wanaona ni vikwazo?

Tena huyu kijana ameniuzi sana kuja kunishtakia huu ujinga maana angetumia tu akili yake na kufunguwa email mpya kwa jina Bill Gates nadhani hiyo passport ingetoka leo leo kwa amri ya Nchimbi.

Je Watanzania ni kweli tupo kwenye millenia au ndio tunasindikiza? Hivi mpaka leo bado na muhuri wa SIRI kwenye makaratasi ya Afisa mtendaji wa kata? Nimesikitika sana kuwa na immigration vilaza kama wa Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Wanakuja watakujibu hao wadau wauhamiaji bt nakuona unabahati kwani kwa maelezo yako operesheni kimbunga ingekuzua tu.coz kuna vitu umeandika sijui ni haraka au ni hasira.(nimoe pesa,nipeprint) daah hayo nimeona ni error tu bt
hili ulilosema visacard hapo nazani hata wewe wamekupa pasipoti kimakasa.kwani haujui. tofauti. ya visa inayozungumziwa kwenye pasipoti na visacard.Pole.
 
Wanakuja watakujibu hao wadau wauhamiaji bt nakuona unabahati kwani kwa maelezo yako operesheni kimbunga ingekuzua tu.coz kuna vitu umeandika sijui ni haraka au ni hasira.(nimoe pesa,nipeprint) daah hayo nimeona ni error tu bt
hili ulilosema visacard hapo nazani hata wewe wamekupa pasipoti kimakasa.kwani haujui. tofauti. ya visa inayozungumziwa kwenye pasipoti na visacard.Pole.

Pimbi wewe watu siku hizi tunachanja viza card kadi tukiwa Tanzania kulipia accommodation tutazofikia nchi tunazokwenda. Sasa mikaratasi ya nini na invitation letter ya nini?

Huna exposure yeyote wewe Mbangubangu ndio maana wala huwezi kuelewa kinachojadiliwa hapa.

Alafu angalia hapo kwenye red ujione ulivyo falla na kituko tu hapa.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha mkuu kati ya vitengo vya serikari ambavyo wafanyakazi huwa wanahisi ni miungu watu basi ni huku wanapenda sana kitu kidog......hapo dogo anageongea kwa mkono mrefu mambo yangeenda vizuri sana bila shida hapo mkuu.....
 
achana na huyo ----- acyejua unazungumza nini, mwambie atofautishe visa, na passport. Passport ni haki ya kila mzarendo ktk inchi yake. mwambie kama vipi dogo nimtumie invitation letter. wakigoma mwambie ahonge mwisho buku 2, p...mba...vu.... zao
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha mkuu kati ya vitengo vya serikari ambavyo wafanyakazi huwa wanahisi ni miungu watu basi ni huku wanapenda sana kitu kidog......hapo dogo anageongea kwa mkono mrefu mambo yangeenda vizuri sana bila shida hapo mkuu.....

achana na huyo ----- acyejua unazungumza nini, mwambie atofautishe visa, na passport. Passport ni haki ya kila mzarendo ktk inchi yake. mwambie kama vipi dogo nimtumie invitation letter. wakigoma mwambie ahonge mwisho buku 2, p...mba...vu.... zao

Katika eneo ambalo kamwe siwezi kutoa rushwa basi ni hapa kwenye passport kwa hakika hawataambulia hata mia.

Invitation nitawapa lakini pesa hawatoambulia, Nawashangaa sana hawa mbulula wakati hata hapo US Embassy siku hizi wanashauri kama uko vizuri huna haja ya kubeba lundo la supporting docs bali wanakuhitaji wewe mwenyewe binafsi ukiwa-sutisifie:wanakupa Viza bila shida.
 
Dah! Sie tusiotaka shida tulipenyeza lupia tukapata passport kiulaini… wala hata foleni hatukupanga
Hii ndo Tanz-ania
 
[h=2]Idara ya uhamiaji ni miongoni mwa 77% walioishia darasa la 7?[/h]
Naunga mkono hoja yako! Nilikua na mgeni wangu kutoka nnje na aliibiwa baadhi ya vitu vyake muhimu ikiwapo Pass yakusafiria, chakushangaza nilipomsindikiza ofisi za uhamiaji mgeni akawa anatoa maelezo kwa tuliowakuata counter! Lakini chakushangaza mmoja wao akaingia ofisi ya 3 au ya 4 baada ya mgeni na wale tuliowakuta pale kutoelewana, ndipo kumbe alikwenda kuitwa mwenye kujua kuzungumza Kiingereza ambaye alionekana kama bosi fululani pale! chakujiuliza wale tuliowakuta pale counter na wamevalia sare za kazi na wako nadhifu na simu za bei ghali ni kina nani???:frusty:
 
Kamanda matola acha matusi basi.kwenye kuandika error zipo ndio maana me nimekubaliana na wewe.bt swala la visacard uhamiaji hapo limekujaje?
Swala la barua ya mwaliko ni kuwa na uhakika wa unapokwenda vijana wengi wanasafiri kwenda nje kujilipua.na kama utaratibu wa pasi za kusafiria ungefuatwa vizuri hao wabeba sembe wasingepenya.soma habari leo.17/10/2013.
 
Nadhani bado wanatumia utaratibu wa zamani, maana wakati nashuhurikia pass yangu miaka 14 iliopita nilihitajika kuonyesha barua ya mualiko kuonyesha kuwa nahitaji pass kwa sababu natakiwa kusafiri ng'ambo. TZ kila kitu ni ishu, kwenye ofisi na taasisi za serikali sijabahatika kuona mahali ambapo wanatoa huduma kwa urahisi ukaridhika na huduma uliopewa.
 
Sasa kilichonifanya niandike hii thread ni kwamba wamemrudisha eti apeleke Invitation letter! Sikuami ilibidi nimuulize mara mbilimbili kwamba ni kweli immigration officer hajalog application form kwa sababu ya Invitation letter?

Wana JF naomba mnisaidie hivi dunia hii ninayoishi mimi ndio wanayoishi hawa immigration au tuko sayari tofauti?

Mkuu uko sahihi kabisa , hawa jamaa wengi wao ni mbumbumbu wa kutupwa. Kuna mambo nimekutana nayo Uhamiaji yanasikitisha hata kusimulia.

Nadhani wengi mnakumbuka kisa cha yule Mkenya ambaye aliingia nchini kupitia Namanga, na akiwa Tanzania akataka kusafiri kwenda Europe kwa kupitia airport Dar JKNIA kwa ajili ya safari ya kikazi. Uhamiaji pale airport walimwambia haiwezekani kwa sababu aliingia kwa gari kupitia Namanga hivyo inabidi atoke nchini kwa kupitia Namanga tena.

Watu wa airline walibishana sana na uhamiaji, wakijaribu kuwaelimisha ikashindikana, na ikabidi jamaa ashushwe toka kwenye ndege. Aliporudi Kenya alisambanza email kuhusu umbumbumbu wa Migration officials Tanzania.

Mie binafsi mara nyingi nimesafiri kupitia Nairobi kwenda Europe, nikipitia Namanga kwa kibasi kwa kuwa nakuwa Arusha ambapo ni karibu na Nairobi kuliko kusafiri hadi Dar. Sijawahi kupata matatizo kwenda Europe kupitia Kenyatta airport kwa kuwa niliingia Kenya kupitia Namanga! Nilishangaa Migration wetu walimwambia jamaa lazima arudi kwanza Namanga alikoingilia!
 
Kamanda matola acha matusi basi.kwenye kuandika error zipo ndio maana me nimekubaliana na wewe.bt swala la visacard uhamiaji hapo limekujaje?
Swala la barua ya mwaliko ni kuwa na uhakika wa unapokwenda vijana wengi wanasafiri kwenda nje kujilipua.na kama utaratibu wa pasi za kusafiria ungefuatwa vizuri hao wabeba sembe wasingepenya.soma habari leo.17/10/2013.

Ni bora ukae kimya kuliko kuendelea kujiumbuwa hapa na kuonesha ulivyo mtupu kichwani na hauna exposure maskini ya mungu.

Wenzako wenye kwenye vitu wasivyovijuwa huwa wanakaa kwenye thread na kusoma tu na kuchota maarifa.

Wasafirisha unga Passport wanaletewa nyumbani hawana muda wa kwenda kupanga foleni counter wala kusubmit chochote zaidi ya pesa yao tu.

Hivi wewe mbulula Dunia ya leo huwezi kujitumia mwenyewe vitu hivi Fax, Email and etc.....?

Au nikimwambia Speaker ambaye yupo Mlimani city saa hizi anitumie email kama yupo Japan there is any technology to prove from this mbulula of uhamiaji? Mambo mengine yanakela sana wakati wenzetu wanajitahidi kupunguza matumizi ya passport kwa uniform Viza huku kwetu bado kuna mipumbavu inaona passport ni tayari umeshapewa urais wa wabeba box.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu uko sahihi kabisa , hawa jamaa wengi wao ni mbumbumbu wa kutupwa. Kuna mambo nimekutana nayo Uhamiaji yanasikitisha hata kusimulia.

Nadhani wengi mnakumbuka kisa cha yule Mkenya ambaye aliingia nchini kupitia Namanga, na akiwa Tanzania akataka kusafiri kwenda Europe kwa kupitia airport Dar JKNIA kwa ajili ya safari ya kikazi. Uhamiaji pale airport walimwambia haiwezekani kwa sababu aliingia kwa gari kupitia Namanga hivyo inabidi atoke nchini kwa kupitia Namanga tena.

Watu wa airline walibishana sana na uhamiaji, wakijaribu kuwaelimisha ikashindikana, na ikabidi jamaa ashushwe toka kwenye ndege. Aliporudi Kenya alisambanza email kuhusu umbumbumbu wa Migration officials Tanzania.

Mie binafsi mara nyingi nimesafiri kupitia Nairobi kwenda Europe, nikipitia Namanga kwa kibasi kwa kuwa nakuwa Arusha ambapo ni karibu na Nairobi kuliko kusafiri hadi Dar. Sijawahi kupata matatizo kwenda Europe kupitia Kenyatta airport kwa kuwa niliingia Kenya kupitia Namanga! Nilishangaa Migration wetu walimwambia jamaa lazima arudi kwanza Namanga alikoingilia!
Hahahaha, hiki ni kituko cha aina yake. kwa hiyo ukiingia na ndege Tzii, lazima uondoke kwa ndege. Duh!
 
Mkuu uko sahihi kabisa , hawa jamaa wengi wao ni mbumbumbu wa kutupwa. Kuna mambo nimekutana nayo Uhamiaji yanasikitisha hata kusimulia.

Nadhani wengi mnakumbuka kisa cha yule Mkenya ambaye aliingia nchini kupitia Namanga, na akiwa Tanzania akataka kusafiri kwenda Europe kwa kupitia airport Dar JKNIA kwa ajili ya safari ya kikazi. Uhamiaji pale airport walimwambia haiwezekani kwa sababu aliingia kwa gari kupitia Namanga hivyo inabidi atoke nchini kwa kupitia Namanga tena.

Watu wa airline walibishana sana na uhamiaji, wakijaribu kuwaelimisha ikashindikana, na ikabidi jamaa ashushwe toka kwenye ndege. Aliporudi Kenya alisambanza email kuhusu umbumbumbu wa Migration officials Tanzania.

Mie binafsi mara nyingi nimesafiri kupitia Nairobi kwenda Europe, nikipitia Namanga kwa kibasi kwa kuwa nakuwa Arusha ambapo ni karibu na Nairobi kuliko kusafiri hadi Dar. Sijawahi kupata matatizo kwenda Europe kupitia Kenyatta airport kwa kuwa niliingia Kenya kupitia Namanga! Nilishangaa Migration wetu walimwambia jamaa lazima arudi kwanza Namanga alikoingilia!

Wewe pia huna akili au upeo wako mdogo. ingawa unajifanya mjuaji......yule mkenya aliambiwa arudi akapandie ndege kwao. Ni kwamba yeye alikuwa na VISA au RESIDENCE ya nchi mojawapo huko ulaya siikumbuki. Sasa nikufahamishe inawezekana mtu akasafiri na visa ya au Residence ya kufoji kwa kupitia nchi nyingine ili kukwepa kugundulika kirahisi kama atapitia nchi yake . Na hasa wanatumia zile nchi ambazo hazina ubalozi. Na endapo atafanikiwa kusafiri na akagundulika mbele ya safari lawama zingerudi kwenye immigration yetu alipopita. So immigration inapogundua utata kwenye VISA au Residence hawatakuruhusu usafiri . Airline na Immigration ni depertment mbili tofauti. So zimeshawahi kutokea kesi kama hizo na ndio maana immigration walimkataa kupita airpot yetu. Alichotakiwa kufanya yeye mkenya ni kwenda embassy ya hiyo nchi ya ulaya hapa bongo na kupewa barua ama uthibisho wa visa yake au residence yake na sio kuwapangia immigration nini cha kufanya
 
Pimbi wewe watu siku hizi tunachanja viza card kadi tukiwa Tanzania kulipia accommodation tutazofikia nchi tunazokwenda. Sasa mikaratasi ya nini na invitation letter ya nini?

Huna exposure yeyote wewe Mbangubangu ndio maana wala huwezi kuelewa kinachojadiliwa hapa.

Alafu angalia hapo kwenye red ujione ulivyo falla na kituko tu hapa.

Wewe pia una tatizo na sidhani kama una exposure au la uliwahi kuishi abroad kwa kuzamia. Kwa kifupi INVITATION LETTER sio barua tu ambayo unaweza ukaingia internet na kuandika eti unamualika mtu then akapewa passport au visa. INVITATION LETTER ni barua unayoipata kutoka kutoka ofisi za uhamiaji za nchi husika baada ya kutoa maelezo na kujaza fomu za kuomba kumualika mtu aje akutembelee katika nchi. Baada ya hapo ofisi ya uhamiaji itaku printia official invitation letter ikiwa na jina lako lako inapitia immigration ya nchi husika . So Invitation letter sio barua tu au email unaamua kuandika eti unamualika mtu. Kama hujaelewa niulize zaidi nikusaidie mshamba wewe
 
Last edited by a moderator:
Wewe pia una tatizo na sidhani kama una exposure au la uliwahi kuishi abroad kwa kuzamia. Kwa kifupi INVITATION LETTER sio barua tu ambayo unaweza ukaingia internet na kuandika eti unamualika mtu then akapewa passport au visa. INVITATION LETTER ni barua unayoipata kutoka kutoka ofisi za uhamiaji za nchi husika baada ya kutoa maelezo na kujaza fomu za kuomba kumualika mtu aje akutembelee katika nchi. Baada ya hapo ofisi ya uhamiaji itaku printia official invitation letter ikiwa na jina lako lako inapitia immigration ya nchi husika . So Invitation letter sio barua tu au email unaamua kuandika eti unamualika mtu. Kama hujaelewa niulize zaidi nikusaidie mshamba wewe

Bwegge wewe mimi nahitaji invitation letter kwenda Dubai? Hivi hata akili ndogo tu ya guluguja watu tunakwenda South Africa mara kibao tunagongewa tu muhuri wa entry wewe unaniletea hadithi za invitation letter?

Wewe ni jinga la mwisho kabisa umekalia kukalili ujinga hujui lolote kwamba tunaokwenda vacation sisi kwetu kitu muhimu ni viza card tu. No wonder unajiita kupe upstairs empty.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom