Kama kuna mtu aliyefuatilia mchakato wa uchaguzi Jimbo la Segerea hasa takwimu zilizotolewa na Jaji Lubuva leo, naomba tusaidiane hapa! Jumla ya kura zilizopigwa na kusomwa na msimamizi wa uchaguzi za wabunge ni takribani 275k lakini kwa mujibu wa Jaji Lubuva kura zilizopigwa za uraisi ni 220k.
Sasa najiuliza waliopiga kura za wabunge na uraisi ni watu tofauti au kuna nini hapa?