Shukrani sana mkuuSoma Tcu Guidebook na Nacteguidebook
Mkuu mm nina DDE ya PCB Kwahio nimeona tu bora niende diploma ya mechanical engineering sasa nimeuliza ili niwe na uhakika wakupata kuchaguliwa endapo nikiapply maana dirisha walifungua toka june sasa uskute labda hadi saiv washaa jaa nafac zikawa hamna japo nina vigezo vya hiyo kozi ya diploma. Nina C ya phyz,,C ya chemistry na C ya math kwenye cheti cha form four..Kama una sifa omba.
Ila uwe na udaulu mzuri kidogo. Angalau above 2 ya 10.
Nilijua, unazungumzia degree.Mkuu mm nina DDE ya PCB Kwahio nimeona tu bora niende diploma ya mechanical engineering sasa nimeuliza ili niwe na uhakika wakupata kuchaguliwa endapo nikiapply maana dirisha walifungua toka june sasa uskute labda hadi saiv washaa jaa nafac zikawa hamna japo nina vigezo vya hiyo kozi ya diploma. Nina C ya phyz,,C ya chemistry na B ya Biology kwenye cheti cha form four..
Haina mbaya mkuuNilijua, unazungumzia degree.
Hapo sina msaada.
Haina mbaya mkuu
O level nina C phyz C math ma C chemistry.. kwaio nitapata nikiapply?Kama ufaul wako ni mzr olevel utapata..... Bt kama una uvivu wa kusoma masomo ya maelezo just try ATC o MUST! modules ni nyngi san DIT panahtaj uwe na bdii ni hayo tu