Idadi ya wadada masingo JF

Kila mwanamke JF ana mtu, tena mtu wake handsome,ana pesa,anampeleka vacation nje ya nchi,ana magari ya kifahari na magorofa kwahio mdogo wangu jipime ukiweza mpindue mtu.
Nimecheka kwa nguvuu😂😂😂😂
 
Nayawaza mapinduzi, japo sio ya viwanda.
Mbona unajihami best au ndo alizoimba Mr. nice wa enzi zile "yuko hapa hapa" hahahaa
umpindue baba watoto wee, humuwezi anajimuduu, sijihami bana ni kweli ujue tehteh
 
Muoaji akivutiwa na mwanamke, humuuliza kama kaolewa au bado, akishapata jibu huamua nini cha kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…