Poleni sana, makanisa ya sasa inabidi akili ifanye kazi, usipochanganga za kuambiwa na zako unapotea.Maafisa wa idara ya upelelezi DCI wamefukua maiti nyingine moja ya mwanamke na kufikisha idadi kamili ya miili iliyofukuliwa 242.
Aidha mwanaume mmoja ameokolewa na kufikisha idadi ya waliopatikana hai 93.