ICT vs water supply Engineering vs Agriculture

ICT vs water supply Engineering vs Agriculture

SAM MOLE

Member
Joined
Dec 16, 2014
Posts
27
Reaction score
17
Hello wanajukwaa. Naombeni ushauri wenu kulingana na uzoefu wenu wataalamu.

Nina mdogo wangu kamaliza kidato Cha nne mwaka jana, amepangiwa Kozi ya ICT chuo Cha Taifa Cha usafirshaji.

Mimi nilitamani sana asomee mambo ya maji hasa kozi ya Water supply engineering au pump mechanic engineering. Kama siyo hivyo basi askme Agriculture production.

Naombeni ushauri wenu kuhusu hizo kozi, maslahi ya kila kozi. Ni kweli lazima tusome lakini tusisome tu ilimradi. Karibu I kwà ushauri wenu.

Asanteni
 
Hello wanajukwaa. Naombeni ushauri wenu kulingana na uzoefu wenu wataalamu.
Nina mdogo wangu kamaliza kidato Cha nne mwaka jana, amepangiwa Kozi ya ICT chuo Cha Taifa Cha usafirshaji.
Mimi nilitamani sana asomee mambo ya maji hasa kozi ya Water supply engineering au pump mechanic engineering. Kama siyo hivyo basi askme Agriculture production.
Naombeni ushauri wenu kuhusu hizo kozi, maslahi ya kila kozi. Ni kweli lazima tusome lakini tusisome tu ilimradi. Karibu I kwà ushauri wenu.
Asanteni
Kwa kujiajirii ni vema asome Agricultural Production kwa Tz bado anauwanja mpana wakufanya mambo sababu agriculture ina vitu vingi ndan yake ambazo ni fursa kujiajiri, pia ICT ni nzuri lkn yampasa aangalie ataspecialized wapii kama ni database, programmer au networker akikomaa humo soko lipo mkuu
 
Back
Top Bottom