Apple ID mkuu,kwa wanaotumia IOS inawahusu zaidiIv icloud inausikqnaga sana na nn? Mwongozo cz co frst tym kuliona!!
Hujaelewa wapi nikueleweshe mkuu?Ndio nn hicho umeandika
nice move, nishawai fanya hii kitambo, nikafanikiwa kupata full email ya owner, haha nikamwomba anipatie credentials za simu dah, akataka aniitie polisi, japo alikua UK uko!Kwa anayetaka icloud id info za mtumiaji wa mwanzo(email,namba za simu,mahali anapoishi) zinapatikana,NO PASSWORDS.
65$ anayehitaji aje PM.
Zinapatikana kwa imei number,na ile email inayodisplay with hidden characters pia ni muhimu.UDID pia.