Ichunge Misingi 6 ya Mafanikio...

Ichunge Misingi 6 ya Mafanikio...

Joined
May 4, 2013
Posts
41
Reaction score
4
Ichunge Misingi 6 ya Mafanikio:
(1) Usimchukie Yoyote Hata Kama Atakukosea Vipi.

(2) Ishi Maisha ya kawaida Hata Kama Upo Juu

(3) Tarajia ushindi Hata Kama Mapito ni magumu

(4) Toa maamuzi yako hata kama utashawishiwa

(5) Onesha Tabasam Hata Kama Moyo Unavuja Damu

(6) Usiache Kuwaombea maadui zako; kumweka Mungu mbele katika kila jambo
 
Asante kwa maneno ya hekima...
 
Ichunge Misingi 6 ya Mafanikio:
(1) Usimchukie Yoyote Hata Kama Atakukosea Vipi.

(2)Ishi Maisha ya kawaida Hata Kama Upo Juu

(3) Tarajia ushindi Hata Kama Mapito ni magumu

(4) Toa maamuzi yako hata kama utashawishiwa

(5) Onesha Tabasam Hata Kama Moyo Unavuja Damu

(6) Usiache Kuwaombea maadui zako; kumweka Mungu mbele katika kila jambo

Hiyo namba tano (5) mi imenishinda maana naona nitakuwa naishi maisha ya kinafiki. Kama mtu kaniudhi namwambia na yanaishia hapo na kama amenifurahisha nafanya vivyo hivyo. Sioni mantiki ya kuvaa ngozi ya Kondoo wakati ndani yangu ni mbwa mwitu mkali, no hilo siwezi!
 
Ilichomaanisha hapo~hakuna haja yakila mtu kujua machungu unayopitia coz hawatakusaidia so piga moyo konde komaa
 
Ichunge Misingi 6 ya Mafanikio:
(1) Usimchukie Yoyote Hata Kama Atakukosea Vipi.

(2)Ishi Maisha ya kawaida Hata Kama Upo Juu

(3) Tarajia ushindi Hata Kama Mapito ni magumu

(4) Toa maamuzi yako hata kama utashawishiwa

(5) Onesha Tabasam Hata Kama Moyo Unavuja Damu

(6) Usiache Kuwaombea maadui zako; kumweka Mungu mbele katika kila jambo
hayo kwenye red kwangu ni ngumu sana ,ukisha nikosea nakusahau kabisa kabisa kwa hiyo situmii effort yakusamehe!! pia ukiniudhi siwezi cheka kwangu unafki hamna nakuchana live utantafuta wewe na sio mimi
sifanyi biashara kicha nawaombea nini??akati ni adui tayari!!nakusahau tu kama wengine
 
Hiyo namba tano (5) mi imenishinda maana naona nitakuwa naishi maisha ya kinafiki. Kama mtu kaniudhi namwambia na yanaishia hapo na kama amenifurahisha nafanya vivyo hivyo. Sioni mantiki ya kuvaa ngozi ya Kondoo wakati ndani yangu ni mbwa mwitu mkali, no hilo siwezi!


hayo kwenye red kwangu ni ngumu sana ,ukisha nikosea nakusahau kabisa kabisa kwa hiyo situmii effort yakusamehe!! pia ukiniudhi siwezi cheka kwangu unafki hamna nakuchana live utantafuta wewe na sio mimi
sifanyi biashara kicha nawaombea nini??akati ni adui tayari!!nakusahau tu kama wengine

You missed the point.

Mtoa mada amemaanisha kwamba usimuonyeshe kila mtu kwamba ndani uko hoi na sio usimuonyeshe muhusika. Mf. kama una matatizo yako nyumbani usiruhusu kila utakaekutana nae nje ya nyumbani kwako ang'amue hilo. Sio unamnunia/mlilia kila mtu.
 
hayo kwenye red kwangu ni ngumu sana ,ukisha nikosea nakusahau kabisa kabisa kwa hiyo situmii effort yakusamehe!! pia ukiniudhi siwezi cheka kwangu unafki hamna nakuchana live utantafuta wewe na sio mimi
sifanyi biashara kicha nawaombea nini??akati ni adui tayari!!nakusahau tu kama wengine

haimaanishi uwaombee kwa kuwataja majina yao,Mungu awajalie afya njema ilikeshowashuhudie Mungu wako alie wakweli na mkuu..Act like Elia au Jesus sababu uwezo wakuwaangamiza kwa kumwaga damu zao alikuwa nao but they kill them spiritually
 
You missed the point.

Mtoa mada amemaanisha kwamba usimuonyeshe kila mtu kwamba ndani uko hoi na sio usimuonyeshe muhusika. Mf. kama una matatizo yako nyumbani usiruhusu kila utakaekutana nae nje ya nyumbani kwako ang'amue hilo. Sio unamnunia/mlilia kila mtu.
(5) Onesha Tabasam Hata Kama Moyo Unavuja Damu
HATUJA MISS THE POINT NI MOJA PIA YA MIFANO KAMA ULIVYO HUO WA KWAKO

 
Back
Top Bottom