Ngosha boy
Member
- Nov 22, 2019
- 5
- 0
Habari wadau.
Nipo Dar kwa sasa nilihitaji kujua kwa wale wazoefu wa uzalishaji wa ice lolly (lambalamba) mambo yafuatayo:
1. Vifaa hasa vinavyotakiwa.
2. Gharama yake.
3. Changamoto.
4. Soko lake pia
Nipo Dar kwa sasa nilihitaji kujua kwa wale wazoefu wa uzalishaji wa ice lolly (lambalamba) mambo yafuatayo:
1. Vifaa hasa vinavyotakiwa.
2. Gharama yake.
3. Changamoto.
4. Soko lake pia