Yule ni mharifu hujaona maiti za watanzania waliokufa kwa maamuri zake?Raisi hawezi kushtakiwa ICC
Yule ni mharifu hujaona maiti za watanzania waliokufa kwa maamuri zake?Raisi hawezi kushtakiwa ICC
Kwan ni kosa kuadabisha wezi?Yule ni mharifu hujaona maiti za watanzania waliokufa kwa maamuri zake?
😁😁😁 Hii ilikuwa mbinu ya makondakta na MwendazakeAlikabiriana na dawa za kulevya kweli au alitaka kuondoa upinzani sokoni ili auze peke yake na genge lake?
😁😁😁😁 Nimecheka sana KmmkIt is coming also here here
Wanamuonea tu.Kuna tofauti gani kati yake na Trump anavyowaua wauzaji na wasafirishaji wa drugs wa Venezuela.Anawaua mara kwa mara kwa kuwalipua na maboti yao.Duterte alikuwa mbabe kama simba.
Natamani kumuona alivyochoka kama mbwa koko.
SUKUMA NDANI.