MANILA, Ufilipino
MAHAKAA ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) itaendelea kumshikilia Rais wa zamani wa Ufilino, Rodrigo Duterte, baada ya ombi lake kugonga mwamba.
Duterte amekuwa kizuizini akikabiliwa na mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa operesheni zake za kukabiliana na dawa za kulevya nchini kwake.
Akiwa rais, utawala wake unatajwa kuua watu wengi katika operesheni za kusaka wafanyabiashara wa dawa kulevya kuanzia mwaka 2016 hadi 2022.
Alikamatwa Machi, 2025, na kisha kupelekwa Uholanzi, ambako ndiyo yaliko Makao Makuu ya ICC.
Hivi karibuni, mwanasiasa huyo aliiomba ICC imwachie kwa muda ili ashughulikie kile alichokitaja kuwa ni changamoto za afya.
Hata hivyo, kwa mujibu wa wanasheria wake, afya ya Duterte imezorota kwa kipindi alichowekwa kizuizini.
MAHAKAA ya Uhalifu ya Kimataifa (ICC) itaendelea kumshikilia Rais wa zamani wa Ufilino, Rodrigo Duterte, baada ya ombi lake kugonga mwamba.
Duterte amekuwa kizuizini akikabiliwa na mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa operesheni zake za kukabiliana na dawa za kulevya nchini kwake.
Akiwa rais, utawala wake unatajwa kuua watu wengi katika operesheni za kusaka wafanyabiashara wa dawa kulevya kuanzia mwaka 2016 hadi 2022.
Alikamatwa Machi, 2025, na kisha kupelekwa Uholanzi, ambako ndiyo yaliko Makao Makuu ya ICC.
Hivi karibuni, mwanasiasa huyo aliiomba ICC imwachie kwa muda ili ashughulikie kile alichokitaja kuwa ni changamoto za afya.
Hata hivyo, kwa mujibu wa wanasheria wake, afya ya Duterte imezorota kwa kipindi alichowekwa kizuizini.