KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 3,503
- 4,518
Dunia isiwe busy na mambo ya irani, badala yake ije kuwa busy na vinyago vya tecdema vilivyokula misumari vikiwa vinaenda kutafuta katiba kwenye maduka ya simu.Unafikiri kwa nini wanashindwa kutoa report yao? Mashaka makubwa ni hii kitu kwa sababu ICC inataka kujua kwanza efforts za ndani zimefanya nini na kama hatua zinaendana na tukio lenyewe! Wanapambana kuipika kwa kuwa ndio itaactivate hatua zaidi kimataifa either positive au negative, so wanasoma na kuirudiarudia kila wakicheck wanaona mamaduro anasongeshwa so wanarudia kuipika tena na tena ili wamuokoe. Huo muda unaoongezwa mara kwa mara ni kwa ajili ya kuedit ila ndo moja haikai na mbili haikai
Kifupi dunia nzima imekaa macho kusubiri huu mzigo!